Ki Aziz apewa mama mpya na Watanzania. Makanjanja hawapo nyuma, yamegeuka machawa waandamizi

Ki Aziz apewa mama mpya na Watanzania. Makanjanja hawapo nyuma, yamegeuka machawa waandamizi

Sasa shida ni nn haswa had iwe habar kiivo.
Amesajiliwa so what ? Why wapumbavu wengi hamshtuki tu kuwa mnatumiwa kufanikisha mipango yao?

Kusajili ni jukumu lao ila Sasa why Hilo swala lije kisiasa Sana na nn maana yake?
Basi Tufanye Kasajiliwa Simba.
 
Mambo ni mengi muda mchache ni vurugu mechi zahapa na pale, makanjanja yaliyoamua kujivika uchawa na kudhalilisha taaluma ambayo huwa inaaminika kwamba ni mhimili wa 4 yaani media, basi ni vurugu tupu kama chawa la Gsm linalo ji disguise kama chambuzi la clouds fm nalo likamsingizia mwanamke aisyejulikana jina kwamba ni mama wa Ki aziz

Uchawa ni laana walahi, mtu anayedhaniwa kwamba ni journalist basi post hata vitu vya ukweli basi mbona u ki google tu mama wa Ki aziz unampata, why una spread fake news ili uonekane Fabrizio Romano?

View attachment 2257820View attachment 2257822
Wee njaakalihatari JINGA kweli, kumbe hujui kuna Bibi na Mama!
Screenshot_20220612-084248_Instagram.jpg

Screenshot_20220612-084308_Instagram.jpg
 
Mambo ni mengi muda mchache ni vurugu mechi zahapa na pale, makanjanja yaliyoamua kujivika uchawa na kudhalilisha taaluma ambayo huwa inaaminika kwamba ni mhimili wa 4 yaani media, basi ni vurugu tupu kama chawa la Gsm linalo ji disguise kama chambuzi la clouds fm nalo likamsingizia mwanamke aisyejulikana jina kwamba ni mama wa Ki aziz

Uchawa ni laana walahi, mtu anayedhaniwa kwamba ni journalist basi post hata vitu vya ukweli basi mbona u ki google tu mama wa Ki aziz unampata, why una spread fake news ili uonekane Fabrizio Romano?

View attachment 2257820View attachment 2257822
 
Mambo ni mengi muda mchache ni vurugu mechi zahapa na pale, makanjanja yaliyoamua kujivika uchawa na kudhalilisha taaluma ambayo huwa inaaminika kwamba ni mhimili wa 4 yaani media, basi ni vurugu tupu kama chawa la Gsm linalo ji disguise kama chambuzi la clouds fm nalo likamsingizia mwanamke aisyejulikana jina kwamba ni mama wa Ki aziz

Uchawa ni laana walahi, mtu anayedhaniwa kwamba ni journalist basi post hata vitu vya ukweli basi mbona u ki google tu mama wa Ki aziz unampata, why una spread fake news ili uonekane Fabrizio Romano?

View attachment 2257820View attachment 2257822
Hizo ni hasira tu
 
Walikuwa wanakula msosi mkuu ila hapa sijui walikuwa wanafanyajeView attachment 2257982

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Unazungumziaje maoni haya?

KWAJILI YA NINI, KWAJILI YA NANI?

Viongozi wetu wa soka hasa vijana wanapaswa kuwa WAADILIFU kwenye mambo yao.

Hizi picha tunazoonyeshwa mitandaoni kuhusiana na AZIZI KI kweli zimepigwa juzi, jana au leo nchini IVORY COAST?

Huyu Mwanamama anaeonekana ni Wakala wa mchezaji tunaemgombea kweli?

Kuna picha tulizopiga Morocco wakati wa mechi ya Berkane na Asec tukiwa na yule mama agent wa Berkane tunazo bado?

Kupiga picha mahala popote na mchezaji au mtu maarufu ni rahisi sana sikuhizi hasa kama nawe uko industry hiyo ndo kabisaa, unaomba unapiga.

Wakati mchezaji yupo hakuna MKATABA, wakati kuna mkataba hakuna MCHEZAJI. Coincidence au planned?

Kama tumemsajili why hashiki mkataba wetu na kupiga nae picha tukiwa tumemkumbatia kama ilivyo ada yetu?

Kuna jambo haliko sawa na wala hakuna sababu ya kulifanya zaidi ya kampeni za uchaguzi.

Kama mnaanza mapema hivi mkipewa nchi itakuaje? Should we trust the process or project Kama inavyopigiwa debe?

NB: Mpaka sasa hakuna Klabu ya Tanzania imeingia makubaliano na Stephen Aziz Ki ya namna yoyote ile. Unaoendelea kwa Klabu zote Simba na Yanga ni ushamba tu na vitu feki kwa ujinga wetu. PROVE ME WRONG..!!

BIN KAZUMARI.
 
Unazungumziaje maoni haya?

KWAJILI YA NINI, KWAJILI YA NANI?

Viongozi wetu wa soka hasa vijana wanapaswa kuwa WAADILIFU kwenye mambo yao.

Hizi picha tunazoonyeshwa mitandaoni kuhusiana na AZIZI KI kweli zimepigwa juzi, jana au leo nchini IVORY COAST?

Huyu Mwanamama anaeonekana ni Wakala wa mchezaji tunaemgombea kweli?

Kuna picha tulizopiga Morocco wakati wa mechi ya Berkane na Asec tukiwa na yule mama agent wa Berkane tunazo bado?

Kupiga picha mahala popote na mchezaji au mtu maarufu ni rahisi sana sikuhizi hasa kama nawe uko industry hiyo ndo kabisaa, unaomba unapiga.

Wakati mchezaji yupo hakuna MKATABA, wakati kuna mkataba hakuna MCHEZAJI. Coincidence au planned?

Kama tumemsajili why hashiki mkataba wetu na kupiga nae picha tukiwa tumemkumbatia kama ilivyo ada yetu?

Kuna jambo haliko sawa na wala hakuna sababu ya kulifanya zaidi ya kampeni za uchaguzi.

Kama mnaanza mapema hivi mkipewa nchi itakuaje? Should we trust the process or project Kama inavyopigiwa debe?

NB: Mpaka sasa hakuna Klabu ya Tanzania imeingia makubaliano na Stephen Aziz Ki ya namna yoyote ile. Unaoendelea kwa Klabu zote Simba na Yanga ni ushamba tu na vitu feki kwa ujinga wetu. PROVE ME WRONG..!!

BIN KAZUMARI.
Nakuelewa mkuu ila ngoja nikujibu kwa kifupi.

Mtu msomi, na anajielewa kufanya vitu vyote hivyo halafu mwisho wa siku mchezaji asajiliwi ni zaidi ya kujiabisha. Nimetumia neno pana ya kujiabusha nadhani umeelewa kwanini ninesema anakuwa anajiabisha mwenyewe.

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Unazungumziaje maoni haya?

KWAJILI YA NINI, KWAJILI YA NANI?

Viongozi wetu wa soka hasa vijana wanapaswa kuwa WAADILIFU kwenye mambo yao.

Hizi picha tunazoonyeshwa mitandaoni kuhusiana na AZIZI KI kweli zimepigwa juzi, jana au leo nchini IVORY COAST?

Huyu Mwanamama anaeonekana ni Wakala wa mchezaji tunaemgombea kweli?

Kuna picha tulizopiga Morocco wakati wa mechi ya Berkane na Asec tukiwa na yule mama agent wa Berkane tunazo bado?

Kupiga picha mahala popote na mchezaji au mtu maarufu ni rahisi sana sikuhizi hasa kama nawe uko industry hiyo ndo kabisaa, unaomba unapiga.

Wakati mchezaji yupo hakuna MKATABA, wakati kuna mkataba hakuna MCHEZAJI. Coincidence au planned?

Kama tumemsajili why hashiki mkataba wetu na kupiga nae picha tukiwa tumemkumbatia kama ilivyo ada yetu?

Kuna jambo haliko sawa na wala hakuna sababu ya kulifanya zaidi ya kampeni za uchaguzi.

Kama mnaanza mapema hivi mkipewa nchi itakuaje? Should we trust the process or project Kama inavyopigiwa debe?

NB: Mpaka sasa hakuna Klabu ya Tanzania imeingia makubaliano na Stephen Aziz Ki ya namna yoyote ile. Unaoendelea kwa Klabu zote Simba na Yanga ni ushamba tu na vitu feki kwa ujinga wetu. PROVE ME WRONG..!!

BIN KAZUMARI.
Huo muda uliotumia kuandika huu upupu ungefanya kazi zingine!

Akili yako iko shida kidogo, nenda ukapate tiba Mhandishi uchwara
 
Nakuelewa mkuu ila ngoja nikujibu kwa kifupi.

Mtu msomi, na anajielewa kufanya vitu vyote hivyo halafu mwisho wa siku mchezaji asajiliwi ni zaidi ya kujiabisha. Nimetumia neno pana ya kujiabusha nadhani umeelewa kwanini ninesema anakuwa anajiabisha mwenyewe.

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Ngoja tuone
 
Huo muda uliotumia kuandika huu upupu ungefanya kazi zingine!

Akili yako iko shida kidogo, nenda ukapate tiba Mhandishi uchwara
Mi nimeinukuu tu wala sijaandika mimi na hapo chini kuna jina la mwandishi husika
 
Simba day ndo siku rasmi ya kumtamburisha,wanyama tulieni achaneni na mapichapicha ya ku-edit.
 
Back
Top Bottom