Ki Aziz apewa mama mpya na Watanzania. Makanjanja hawapo nyuma, yamegeuka machawa waandamizi

Ki Aziz apewa mama mpya na Watanzania. Makanjanja hawapo nyuma, yamegeuka machawa waandamizi

Safari hii hakuna Simba day, watoto wa mjini wame waachia timu waliokuja na mbio za mwenge wahangaike na Timu.
 
Jemedari Said anawaingiza mashabiki wa mbumbumbu fc Chaka, anasema Hersi Said anafanya aya yote Sababu ya Campein. Mtu timamu lazima ujiulize kwani mwaka jana pale Yanga nani alikua anafanya usajili kule Kongo, si uyuuyu Hersi.
Kwasasa Hersi ni mgombea pekeyake kwenye ngazi ya Urais pale Yanga Sasa kunakitu gani kinacho tishia ushindi wake katika uchaguzi wa Yanga ikiwa Hana mpinzani kwanini awaongo pee Yanga Kwa picha feki za Aziz K.

Kama tunakubaliana Hersi ndiye alikua akisafiri nje ya nchi kukamilisha maswala ya usajili Sasa Kwa Aziz K Kuna lipi la ajabu kama amekutana na kumalizana na mahitajio ya Aziz K Ili ache zee Yanga.

Kama Jemedari Said hoja ni picha ya mchezaji kupiga na kiongozi Hersi uku ameshikilia mkataba wa Yanga, unajuaje kama Aziz K bado ana mkataba na Asec hivyo ni kosa kupiga picha na mchezaji ambaye klabu bado aija pewa chake na kumalizana na Yanga?

Upo uwezekano mkubwa wa uwepo wa picha za Aziz K anasini mkataba na Yanga ila ningumu kutuma picha kama izo ikiwa bado Asec kama klabu na mmiliki wa Aziz K Awaja malizana na Yanga au kama tayari wamemakizana klabu ya Asec badao haijatangaza Kwa wapenzi wake.

Kwasasa Hersi ameshakua na uzoefu wa sajili za kimataifa kutokana na Changamoto alizopitia apo kabla, Kwaiyo Simba wawe wapole watafute wachezaji wengine wazuri kwakua wapo wengi.
 
Mi nimeinukuu tu wala sijaandika mimi na hapo chini kuna jina la mwandishi husika
Nimefikiri wewe ndiye Jemedali!

Ila nimemjibu aliyeandika hayo maneno na siyo nimekujibu wewe
 
Mbona
Mambo ni mengi muda mchache ni vurugu mechi zahapa na pale, makanjanja yaliyoamua kujivika uchawa na kudhalilisha taaluma ambayo huwa inaaminika kwamba ni mhimili wa 4 yaani media, basi ni vurugu tupu kama chawa la Gsm linalo ji disguise kama chambuzi la clouds fm nalo likamsingizia mwanamke aisyejulikana jina kwamba ni mama wa Ki aziz

Uchawa ni laana walahi, mtu anayedhaniwa kwamba ni journalist basi post hata vitu vya ukweli basi mbona u ki google tu mama wa Ki aziz unampata, why una spread fake news ili uonekane Fabrizio Romano?

View attachment 2257820View attachment 2257822
Hasira hivyo? Kwani hukumsikia Mario kuwa ukiishbikia mama Ester fc itakuzeesha!?
 
Back
Top Bottom