Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumatambulisha Aziz ally labda[emoji38][emoji38]Simba day ndo siku rasmi ya kumtamburisha,wanyama tulieni achaneni na mapichapicha ya ku-edit.
Nimefikiri wewe ndiye Jemedali!Mi nimeinukuu tu wala sijaandika mimi na hapo chini kuna jina la mwandishi husika
Hasira hivyo? Kwani hukumsikia Mario kuwa ukiishbikia mama Ester fc itakuzeesha!?Mambo ni mengi muda mchache ni vurugu mechi zahapa na pale, makanjanja yaliyoamua kujivika uchawa na kudhalilisha taaluma ambayo huwa inaaminika kwamba ni mhimili wa 4 yaani media, basi ni vurugu tupu kama chawa la Gsm linalo ji disguise kama chambuzi la clouds fm nalo likamsingizia mwanamke aisyejulikana jina kwamba ni mama wa Ki aziz
Uchawa ni laana walahi, mtu anayedhaniwa kwamba ni journalist basi post hata vitu vya ukweli basi mbona u ki google tu mama wa Ki aziz unampata, why una spread fake news ili uonekane Fabrizio Romano?
View attachment 2257820View attachment 2257822
Naona mahala wakala wa Ki ni mwanaume, sio mwanamke.Basi Sio Mama Yake Mzazi Tufanye Ni Wakala Wake, Enhee Kuna Kingine?? [emoji41]View attachment 2257836
Unaona?Naona mahala wakala wa Ki ni mwanaume, sio mwanamke.