Ki Aziz apewa mama mpya na Watanzania. Makanjanja hawapo nyuma, yamegeuka machawa waandamizi

Sasa shida ni nn haswa had iwe habar kiivo.
Amesajiliwa so what ? Why wapumbavu wengi hamshtuki tu kuwa mnatumiwa kufanikisha mipango yao?

Kusajili ni jukumu lao ila Sasa why Hilo swala lije kisiasa Sana na nn maana yake?
Basi Tufanye Kasajiliwa Simba.
 
Wee njaakalihatari JINGA kweli, kumbe hujui kuna Bibi na Mama!
 
 
Hizo ni hasira tu
 
Walikuwa wanakula msosi mkuu ila hapa sijui walikuwa wanafanyajeView attachment 2257982

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Unazungumziaje maoni haya?

KWAJILI YA NINI, KWAJILI YA NANI?

Viongozi wetu wa soka hasa vijana wanapaswa kuwa WAADILIFU kwenye mambo yao.

Hizi picha tunazoonyeshwa mitandaoni kuhusiana na AZIZI KI kweli zimepigwa juzi, jana au leo nchini IVORY COAST?

Huyu Mwanamama anaeonekana ni Wakala wa mchezaji tunaemgombea kweli?

Kuna picha tulizopiga Morocco wakati wa mechi ya Berkane na Asec tukiwa na yule mama agent wa Berkane tunazo bado?

Kupiga picha mahala popote na mchezaji au mtu maarufu ni rahisi sana sikuhizi hasa kama nawe uko industry hiyo ndo kabisaa, unaomba unapiga.

Wakati mchezaji yupo hakuna MKATABA, wakati kuna mkataba hakuna MCHEZAJI. Coincidence au planned?

Kama tumemsajili why hashiki mkataba wetu na kupiga nae picha tukiwa tumemkumbatia kama ilivyo ada yetu?

Kuna jambo haliko sawa na wala hakuna sababu ya kulifanya zaidi ya kampeni za uchaguzi.

Kama mnaanza mapema hivi mkipewa nchi itakuaje? Should we trust the process or project Kama inavyopigiwa debe?

NB: Mpaka sasa hakuna Klabu ya Tanzania imeingia makubaliano na Stephen Aziz Ki ya namna yoyote ile. Unaoendelea kwa Klabu zote Simba na Yanga ni ushamba tu na vitu feki kwa ujinga wetu. PROVE ME WRONG..!!

BIN KAZUMARI.
 
Nakuelewa mkuu ila ngoja nikujibu kwa kifupi.

Mtu msomi, na anajielewa kufanya vitu vyote hivyo halafu mwisho wa siku mchezaji asajiliwi ni zaidi ya kujiabisha. Nimetumia neno pana ya kujiabusha nadhani umeelewa kwanini ninesema anakuwa anajiabisha mwenyewe.

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Huo muda uliotumia kuandika huu upupu ungefanya kazi zingine!

Akili yako iko shida kidogo, nenda ukapate tiba Mhandishi uchwara
 
Ngoja tuone
 
Huo muda uliotumia kuandika huu upupu ungefanya kazi zingine!

Akili yako iko shida kidogo, nenda ukapate tiba Mhandishi uchwara
Mi nimeinukuu tu wala sijaandika mimi na hapo chini kuna jina la mwandishi husika
 
Simba day ndo siku rasmi ya kumtamburisha,wanyama tulieni achaneni na mapichapicha ya ku-edit.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…