PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 12,181
- 20,148
kuna mzungu mmoja aliwahi kukomenti "apart from showcasing their big booty and using it as a weapon to capture men,black women have nothing to offer to the world".
nikachukua sekunde kadhaa kutatafakari,baadae nikabaini ni kweli.
Sasa umeamini kwasababu kasema mzungu? Acha upunguani, unawavunjia heshima wanawake weusi. Wanamchango mkubwa kwenye society kuliko wewe na huyo mzungu wako. Kama hujui, sasa hivi wamejazana universities mpaka wengine wanakosa nafasi.