Ki ukweli M23 ndo wazalendo wa Congo ila perception yetu kwao ni hasi kwa sababu fikra zetu ni finyu

Ki ukweli M23 ndo wazalendo wa Congo ila perception yetu kwao ni hasi kwa sababu fikra zetu ni finyu

Congo madini yanaibiwa au hayaibiwi? Kama yanaibiwq, yanapitia wapi airport ipi? Za Congo or Rwanda? Ukimaliza, nenda kaangalie kati ya Congo na Rwanda nani kauza dhahabu nyingi Dubai au kwenye soko la dunia, ukipata jibu, nenda kajiridhishe kama Rwanda wana ardhi yeyote yenye dhahabu. Again, kama wao wanalinda rasilimali zisiibiwe Congo, why Kagame mkali sana hati kuitishia Africa kusini? Nonsense. Marais wa AU wangejiuliza, what are they doing in the office?
 
M23 wanapigania rasilimali zao zisichukiliwe na wazungu kupitia puppets wao akina Tschisekedi na Marais wengine ambao Marekani au Magharibi inawapandikiza.

Ila kwa sababu sisi waafrika hatuangalii mambo kwa mapana tunawaona m23 kwamba eti ndo magaidi.

Afrika aliyeturoga alituua haswaa.
Watutsi mmevamia humu!
 
Nilishangaa M23 waliwakamata wanajeshi wazungu walioletwa kupambana nao lakini waliwadhibiti na kuwarudisha kwao salama na wakaambia wakirudi tena watawaweka mateka.
Sahihi kabisa, hii inaonyesha ukomavu wa kijeshi na mafunzo sahihi. Alafu kuna watu wazushi na propaganda zao ovu wanawaita "M23 waasi!?"
 
Ebu
M23 wanapigania rasilimali zao zisichukiliwe na wazungu kupitia puppets wao akina Tschisekedi na Marais wengine ambao Marekani au Magharibi inawapandikiza.

Ila kwa sababu sisi waafrika hatuangalii mambo kwa mapana tunawaona m23 kwamba eti ndo magaidi.

Afrika aliyeturoga alituua haswaa.
Tueleze vizuri hao M23 wanapigana na nani? Na hizo rasilimali wakishazivuna wanapeleka wapi?
 
M23 wanapigania rasilimali zao zisichukiliwe na wazungu kupitia puppets wao akina Tschisekedi na Marais wengine ambao Marekani au Magharibi inawapandikiza.

Ila kwa sababu sisi waafrika hatuangalii mambo kwa mapana tunawaona m23 kwamba eti ndo magaidi.

Afrika aliyeturoga alituua haswaa.
Kwa hiyo huna uhakika ni Marekani au magharibi imewapandikiza hao Tschisekedi na maraisi wengine (akina nani hao?)?
 
Ebu
Tueleze vizuri hao M23 wanapigana na nani? Na hizo rasilimali wakishazivuna wanapeleka wapi?
Wanapigana na mapapet wa africa kama akina tshisekedi wa kuiba madini na kuwakimbizia wazungu na kujineemesha peke yao wakati wanachi wako kwenye lindi la umaskini. Hivyo wanapigania wanachi kwa maana nyingine
 
Kwa hiyo huna uhakika ni Marekani au magharibi imewapandikiza hao Tschisekedi na maraisi wengine (akina nani hao?)?
Marekani na magharibi no kitu kimona thru G3, G4, au G5 hapa ndo tunapigwa na kigawanywa
 
Congo madini yanaibiwa au hayaibiwi? Kama yanaibiwq, yanapitia wapi airport ipi? Za Congo or Rwanda? Ukimaliza, nenda kaangalie kati ya Congo na Rwanda nani kauza dhahabu nyingi Dubai au kwenye soko la dunia, ukipata jibu, nenda kajiridhishe kama Rwanda wana ardhi yeyote yenye dhahabu. Again, kama wao wanalinda rasilimali zisiibiwe Congo, why Kagame mkali sana hati kuitishia Africa kusini? Nonsense. Marais wa AU wangejiuliza, what are they doing in the office?
Kwahiyo Rwanda isinunue madini kutoka Congo?
Kuna shida gani Rwanda ikinunua madini Congo na kwenda kuuza Dubai?
unajua duniani ni nchi gani inaongoza kwa dhahabu?
Je! Hiyo nchi inayoongoza kwa dhahabu, wana ardhi yoyote ya dhahabu?
Kagame ni mkali sababu ana shutumiwa, na neno shutuma si uhalisia.
Afrika kusini ni mfanyabiashara wa dhahabu kama ambavyo Rwanda anauza dhahabu huko Dubai.
 
Silaha na pesa za kununulia silaha wanazipata wapi hao M23?
Tumia akili basi.
Au hizi propaganda toka kwa mfadhili wao?
Wanauza madini kibao ulanga, lithium dhahabu nk.Goma kuna utajiri mkubwa wa madini.
Sema inchi wanayotumia ku export ni Rwanda. Hapo ndio Rwanda anapokuwa implicated kwenye equation
 
M23 wanapigania rasilimali zao zisichukiliwe na wazungu kupitia puppets wao akina Tschisekedi na Marais wengine ambao Marekani au Magharibi inawapandikiza.

Ila kwa sababu sisi waafrika hatuangalii mambo kwa mapana tunawaona m23 kwamba eti ndo magaidi.

Afrika aliyeturoga alituua haswaa.
Fanya kutushawishi tuone kama usemalo ni kweli, weka hoja na vielelezo.
 
Back
Top Bottom