Ki ukweli M23 ndo wazalendo wa Congo ila perception yetu kwao ni hasi kwa sababu fikra zetu ni finyu

Ki ukweli M23 ndo wazalendo wa Congo ila perception yetu kwao ni hasi kwa sababu fikra zetu ni finyu

Mimi naamini hii vita ya congo viongozi wao ni wahusika wakuu na ndio wanaofaidika nazo, ila kama kawaida fata upepo wanapotosha. Kama kungekuwa na vita ya maana jeshi lao lingepambana kikaeleweke.
 
Congo madini yanaibiwa au hayaibiwi? Kama yanaibiwq, yanapitia wapi airport ipi? Za Congo or Rwanda? Ukimaliza, nenda kaangalie kati ya Congo na Rwanda nani kauza dhahabu nyingi Dubai au kwenye soko la dunia, ukipata jibu, nenda kajiridhishe kama Rwanda wana ardhi yeyote yenye dhahabu. Again, kama wao wanalinda rasilimali zisiibiwe Congo, why Kagame mkali sana hati kuitishia Africa kusini? Nonsense. Marais wa AU wangejiuliza, what are they doing in the office?
Mkuu kusema madini yanaibiwa sio kweli makampuni yanayochimba madini Congo yapo kisheria, hiyo mikataba wameingia na waasi? Ila kwa sababu waafrika hatujawahi kufanya tafiti ndio maana hakuna anaejua kinachoendelea congo. Sehem zote zenye vita utaambiwa udini na ukabila sababu wanajua hicho ndio wahusika wanakielewa kwa urahisi na kuwapotosha. Kama Rwanda angekuwa anaweza kuiba hayo madini kama inavyo semwa, nchi nyingine ambazo ziko powerful zingeshindwa nini? Huyo kagame ana nini cha mno haswa? Viongozi wa congo wana mkono wao na ndio wafaidika wakuu.
 
M23 wanapigania rasilimali zao zisichukiliwe na wazungu kupitia puppets wao akina Tschisekedi na Marais wengine ambao Marekani au Magharibi inawapandikiza.

Ila kwa sababu sisi waafrika hatuangalii mambo kwa mapana tunawaona m23 kwamba eti ndo magaidi.

Afrika aliyeturoga alituua haswaa.
We inaonekana umetoroka Mirembe
 
M23 wanapigania rasilimali zao zisichukiliwe na wazungu kupitia puppets wao akina Tschisekedi na Marais wengine ambao Marekani au Magharibi inawapandikiza.

Ila kwa sababu sisi waafrika hatuangalii mambo kwa mapana tunawaona m23 kwamba eti ndo magaidi.

Afrika aliyeturoga alituua haswaa.
shut-up!!
 
Mkuu kusema madini yanaibiwa sio kweli makampuni yanayochimba madini Congo yapo kisheria, hiyo mikataba wameingia na waasi? Ila kwa sababu waafrika hatujawahi kufanya tafiti ndio maana hakuna anaejua kinachoendelea congo. Sehem zote zenye vita utaambiwa udini na ukabila sababu wanajua hicho ndio wahusika wanakielewa kwa urahisi na kuwapotosha. Kama Rwanda angekuwa anaweza kuiba hayo madini kama inavyo semwa, nchi nyingine ambazo ziko powerful zingeshindwa nini? Huyo kagame ana nini cha mno haswa? Viongozi wa congo wana mkono wao na ndio wafaidika wakuu.
Wewe ndio umefanya congulution, mimi nimeuliza maswali hapo ju. Nisaidie majibu ya maswali yangu, achana na Waafrica sijui hawafanyi research or what. Nimeuliza mwishoni, Kagame why kawa mkali while haibi, mgogoro haumuhusu? Jikite humo, tuachane na assumptions za Uafrica wetu
 
Wewe ndio umefanya congulution, mimi nimeuliza maswali hapo ju. Nisaidie majibu ya maswali yangu, achana na Waafrica sijui hawafanyi research or what. Nimeuliza mwishoni, Kagame why kawa mkali while haibi, mgogoro haumuhusu? Jikite humo, tuachane na assumptions za Uafrica wetu
Kagame anawaona wafrica ni wasenge. Madini yanaibiwa na wazungu kupitiq mgogoro na kuwaambinisha m23 kwamba ni waasi kumbe ndo wazalendo wanatetea nchi na mali zilizomo
 
Kagame anawaona wafrica ni wasenge. Madini yanaibiwa na wazungu kupitiq mgogoro na kuwaambinisha m23 kwamba ni waasi kumbe ndo wazalendo wanatetea nchi na mali zilizomo
Naomba nisichangie tena kaka; tubaki kuamini kila mtu na anacho kijua
 
M23 wanapigania rasilimali zao zisichukiliwe na wazungu kupitia puppets wao akina Tschisekedi na Marais wengine ambao Marekani au Magharibi inawapandikiza.

Ila kwa sababu sisi waafrika hatuangalii mambo kwa mapana tunawaona m23 kwamba eti ndo magaidi.

Afrika aliyeturoga alituua haswaa.
Umeandika upumbavu mtupu
 
Wewe ndio umefanya congulution, mimi nimeuliza maswali hapo ju. Nisaidie majibu ya maswali yangu, achana na Waafrica sijui hawafanyi research or what. Nimeuliza mwishoni, Kagame why kawa mkali while haibi, mgogoro haumuhusu? Jikite humo, tuachane na assumptions za Uafrica wetu
Mkuu siwezi kujibu maswali ambayo binafsi naona haya mambo yako beyond ya akili ya wengi, siwezi kujibu swali lako moja kwa moja, endelea kuamini unavyoamini. Kama unaona research haina umuhimu means majibu ya maswali yako unayo mwenyewe
 
Kama sio magaidi wanapoua raia wasiokuwa na hatia hicho ni nini, au ndio kulinda rasilimali za nchi...?

Sio kweli serikali ya Kongo inaua watu wengi sana .

Na mara nyingi serikali ndizo chanzo cha uasi kutokana na kuua sanaa watu .

Hivi unafikiri kama Tanzania ingekuwa na jeshi la hovyo hivyo pale Makada wa CCM na machawa wa watawala walipoanza kuwabagua Wamasai na kusema eti ni Wakenya na jeshi lingekurupuka na kuanza kuwavurumisha warudi Kenya ingetokea nini ?

Mara nyingi eneo likishawekewa lebel ya uasi basi serikali inatumia nguvu kubwa kujaribu kutokomeza kabisa watu wa eneo hilo jambo linalosababisha mauaji ya halaiki na wakimbizi .

Hata Vita vya Rwanda au Burundi serikali ndiyo iliyokua inaua watu kwa maelfu na kuhamasisha chuki .
Kuna watu wanafikiri kuwa watawala ni binadamu wenye roho nzuri . La hasha watawala wengi ni Devil worshiper hawajali mtu zaidi ya madaraka na mali na kujiona miungu watu . Mfano tu ni Wasira na umri wake wote lakini anafanya siasa za ushari mkubwa na kuhubiri chuki dhidi ya vyama vya upinzani na kujiona kuwa yeye ndiye mwenye hali ya kupata ulinzi wa dola na chama chake lakini wengine ni walete muwachinje . Anajisahau kabisa kuwa CCM hakina nguvu kazi ya vijana wengi kama wale walioko nje ya CCM zaidi ya mil 28 wasio na ajira na matumaini ya kupata shere ya rasilimali za nchi huku wachache wakila na kuvimbiwa .

Hata kule Zanzibar 2001 watu waliuawa wengi na serikali yao na sio wananchi . Mauaji kupotea na kukamata na kutesa watu kunaanzishwa na dola na sio wananchi.

Kongo Bila kuiangusha serikali ya kidhalimu wa mawakala wa Mabeberu na kuweka serikali ya Kijeshi na kuunda Jeshi lenye nguvu na kuwasweka ndani wanasiasa wote na kufilisi mali zao kisha kuwafukuza wazungu wote na majeshi ya kigeni Kongo itabaki kama ilivyo mpaka Muumbaji atakapokuja tena duniani kuweka viumbe wapya wema kuliko binadamu waliopo leo.
 
M23 wanapigania rasilimali zao zisichukiliwe na wazungu kupitia puppets wao akina Tschisekedi na Marais wengine ambao Marekani au Magharibi inawapandikiza.

Ila kwa sababu sisi waafrika hatuangalii mambo kwa mapana tunawaona m23 kwamba eti ndo magaidi.

Afrika aliyeturoga alituua haswaa.
M23 ni wanaume.
 
M23 wanapigania rasilimali zao zisichukiliwe na wazungu kupitia puppets wao akina Tschisekedi na Marais wengine ambao Marekani au Magharibi inawapandikiza.

Ila kwa sababu sisi waafrika hatuangalii mambo kwa mapana tunawaona m23 kwamba eti ndo magaidi.

Afrika aliyeturoga alituua haswaa.
Ukweli mtupu, wale ni watusi wa Congo, wanahaki ya kujilinda, tatizo serikali kuu Kinshasa inawaona kama wavamizi kutoka Rwanda, kisa,wanaongea kitusi! Ni sawa uwafukuze wa Masai wa Arusha, kwa sababu wanaongea kimasai kama wa Masai wa Kenya!
Hapa Congo, ama iwakubali kama Raia huru,au iwape eneo Lao wawe huru!
 
Umeweza kufanya research ya marais wa Africa nzima lakini ushindwe kujibu maswali rahisi hivo kumuhusu Kagame? Nashawishika kuamini, hujafanya research yeyote, umesoma tu matamshi ya PK halafu ukajiaminisha kwamba na wewe uliingia kufanya research while not!
Mkuu siwezi kujibu maswali ambayo binafsi naona haya mambo yako beyond ya akili ya wengi, siwezi kujibu swali lako moja kwa moja, endelea kuamini unavyoamini. Kama unaona research haina umuhimu means majibu ya maswali yako unayo mwenyewe
 
Hawaii raia wa kawaida wale. Tena wanawatetea raia walinde rasilimali zao. Wanaua mamluki wanaotumwa na mabeberu kuiba mali
 
M23 wanapigania rasilimali zao zisichukiliwe na wazungu kupitia puppets wao akina Tschisekedi na Marais wengine ambao Marekani au Magharibi inawapandikiza.

Ila kwa sababu sisi waafrika hatuangalii mambo kwa mapana tunawaona m23 kwamba eti ndo magaidi.

Afrika aliyeturoga alituua haswaa.
ila zichukuliwe na kagame ndo awape wazungu??
 
Back
Top Bottom