Kiafya na kistaarabu, inastahili kukutana na mwenza wako mara ngapi?

Hakuna ratiba hapo!!.....any time mkiwa tayari kimwili na kiakili.
 
nikishinda home bila kwenda job basi huwa nakeshea haka kamchezo!!!

UKIWA NA MUDA,FANYA MARA NYINGI UWEZAVYO!
 
Me sina ratiba maalumu. nikijisikia tuu nampigia simu
 
Yaani lol, acheni jua la utosi litupige tu sasa maana hakuna namna.
 
Mkuu umetisha balaa😀😀😀😀😀😀😀
 
kwa wanaume mahitaji yetu kwenye hii kitu ni makubwa sana tunahiyaji almost kila siku lakini wanawake wanakinai mapema ndo kazi inapoanzia hapo kutafuta michepuko. Wadada badilikeni bana muendane na kasi yetu
 
Kila inaposomwa bajeti mpya ya Mwaka wa fedha wa serikali!
Unaangali tu ongezeko la kodi kwenye pombe, basi ile asimlimia unaizidiaha Mara mbili!
Hivyo jibu la hapo ndo idadi inayotakiwa kwa huo mwaka wa Fedha
 
Ngoja nimalize kumuingilia mtu hapa alafu nitakuja kukujuza
 
Kiafya ni mara moja na nusu kwa wiki mara tatu.
 
Kiafya mara 3 kwa wiki.
Ukipiga show kila siku ni rahisi kuchokana na kuanza kumezea mate michepuko
 
Mara mbili kwa mwezi. Nimekusaidia huku nakuonea huruma inawezekana dushelele yako ni mbofu mbofu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…