Kiakili una uwezo kiasi gani? Ngoja tuone

Kiakili una uwezo kiasi gani? Ngoja tuone

mimi niliwahi kutengeneza subwoofer moja matata sana kwa kutumia pipa [emoji23][emoji23]

eenhe! wewe unaweza?!
[emoji4]
 
Nimetumia akili yangu kugundua kuwa dawa ya kuku anayeumwa kitoga ni kumnyonyoa mkia tu basi......toa manyoya yote ya mkiani na atapona mara moja.

Elimu haijanisaidia sana kimaisha zaidi ya kunigeuza kuwa msaidia watu nisiyechoka.....nikianza kumsaidia mtu mpaka atanifukuza yeye mwenyewe
 
Nimetumia akili yangu kugundua kuwa dawa ya kuku anayeumwa kitoga ni kumnyonyoa mkia tu basi......toa manyoya yote ya mkiani na atapona mara moja.

Elimu haijanisaidia sana kimaisha zaidi ya kunigeuza kuwa msaidia watu nisiyechoka.....nikianza kumsaidia mtu mpaka atanifukuza yeye mwenyewe
[emoji23][emoji23]
 
Habari zenu wakuu,

Aya, mara mojamoja sio mbaya
....tangu uzaliwe, uliwahi kutengeneza /kubuni nini cha kwako mwenyewe?
(kwa kutumia elimu ya darasani au akili ya kuzaliwa)

wazee wa zamani hawakuwa na elimu kama tunayoipata sisi, masuala haya ya teknolojia ni mambo ya kisasa wala hayakuwapo.

waliishi kwa ubunifu mkubwa sana, walibuni mambo kama
moto,silaha nk
hebu fikiria: wewe pamoja na kwamba umesoma chemistry,physics,etc unaweza kutengeneza risasi?

jamani hebu tujaribu kutumia pia akili zetu, elimu yetu hii japo tunasema haijitoshelezi tuitendee haki!
kwani wadhungu wanatuzidi nini?

yaani hata kutengeneza koki ya maji tu huwezi! aah mambo gani haya!

Mada kama hizi najua hazina wafuasi wengi, basi ngoja nikomee hapa, wewe twambie uliwahi kubuni/kutengeneza nini wewe kama wewe!!
Novel writer
 
Nimetengeneza watoto Kwa kweli nimejiona genius
 
Habari zenu wakuu,

Aya, mara mojamoja sio mbaya
....tangu uzaliwe, uliwahi kutengeneza /kubuni nini cha kwako mwenyewe?
(kwa kutumia elimu ya darasani au akili ya kuzaliwa)

wazee wa zamani hawakuwa na elimu kama tunayoipata sisi, masuala haya ya teknolojia ni mambo ya kisasa wala hayakuwapo.

waliishi kwa ubunifu mkubwa sana, walibuni mambo kama
moto,silaha nk
hebu fikiria: wewe pamoja na kwamba umesoma chemistry,physics,etc unaweza kutengeneza risasi?

jamani hebu tujaribu kutumia pia akili zetu, elimu yetu hii japo tunasema haijitoshelezi tuitendee haki!
kwani wadhungu wanatuzidi nini?

yaani hata kutengeneza koki ya maji tu huwezi! aah mambo gani haya!

Mada kama hizi najua hazina wafuasi wengi, basi ngoja nikomee hapa, wewe twambie uliwahi kubuni/kutengeneza nini wewe kama wewe!!
Nimebuni automatic eggs incubator nmebuni mashine kwa bei nafuu, na sakiti ya kugeuza mayai na ya exhaust nime design mwnyw.

Nimebuni amplifier, inverter, manual eggs incubator, n.k

Saiv niko na project ya kufua umeme
 
Nimetumia akili yangu kugundua kuwa dawa ya kuku anayeumwa kitoga ni kumnyonyoa mkia tu basi......toa manyoya yote ya mkiani na atapona mara moja.

Elimu haijanisaidia sana kimaisha zaidi ya kunigeuza kuwa msaidia watu nisiyechoka.....nikianza kumsaidia mtu mpaka atanifukuza yeye mwenyewe
Kitoga ni ugonjwa gani mkuu
 
Back
Top Bottom