Gaddaf i06
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 1,770
- 2,841
- Thread starter
- #21
mimi niliwahi kutengeneza subwoofer moja matata sana kwa kutumia pipa [emoji23][emoji23]
eenhe! wewe unaweza?!
[emoji4]
eenhe! wewe unaweza?!
[emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]Nimetumia akili yangu kugundua kuwa dawa ya kuku anayeumwa kitoga ni kumnyonyoa mkia tu basi......toa manyoya yote ya mkiani na atapona mara moja.
Elimu haijanisaidia sana kimaisha zaidi ya kunigeuza kuwa msaidia watu nisiyechoka.....nikianza kumsaidia mtu mpaka atanifukuza yeye mwenyewe
Ila hii inchi ukif na stress umejitakia[emoji23]Cocktail inaitwa "kufa kufaana" una mix Konyagi, energy, limau na coca.
Novel writerHabari zenu wakuu,
Aya, mara mojamoja sio mbaya
....tangu uzaliwe, uliwahi kutengeneza /kubuni nini cha kwako mwenyewe?
(kwa kutumia elimu ya darasani au akili ya kuzaliwa)
wazee wa zamani hawakuwa na elimu kama tunayoipata sisi, masuala haya ya teknolojia ni mambo ya kisasa wala hayakuwapo.
waliishi kwa ubunifu mkubwa sana, walibuni mambo kama
moto,silaha nk
hebu fikiria: wewe pamoja na kwamba umesoma chemistry,physics,etc unaweza kutengeneza risasi?
jamani hebu tujaribu kutumia pia akili zetu, elimu yetu hii japo tunasema haijitoshelezi tuitendee haki!
kwani wadhungu wanatuzidi nini?
yaani hata kutengeneza koki ya maji tu huwezi! aah mambo gani haya!
Mada kama hizi najua hazina wafuasi wengi, basi ngoja nikomee hapa, wewe twambie uliwahi kubuni/kutengeneza nini wewe kama wewe!!
Nimecheka aiseCocktail inaitwa "kufa kufaana" una mix Konyagi, energy, limau na coca.
Why[emoji4]Novel writer
haipingwi! huwa unatumia malighafi gani [emoji23][emoji23][emoji23]Hirizi za kidigitali
Nigawie mkuu[emoji23][emoji23]Hirizi za kidigitali
Nimebuni automatic eggs incubator nmebuni mashine kwa bei nafuu, na sakiti ya kugeuza mayai na ya exhaust nime design mwnyw.Habari zenu wakuu,
Aya, mara mojamoja sio mbaya
....tangu uzaliwe, uliwahi kutengeneza /kubuni nini cha kwako mwenyewe?
(kwa kutumia elimu ya darasani au akili ya kuzaliwa)
wazee wa zamani hawakuwa na elimu kama tunayoipata sisi, masuala haya ya teknolojia ni mambo ya kisasa wala hayakuwapo.
waliishi kwa ubunifu mkubwa sana, walibuni mambo kama
moto,silaha nk
hebu fikiria: wewe pamoja na kwamba umesoma chemistry,physics,etc unaweza kutengeneza risasi?
jamani hebu tujaribu kutumia pia akili zetu, elimu yetu hii japo tunasema haijitoshelezi tuitendee haki!
kwani wadhungu wanatuzidi nini?
yaani hata kutengeneza koki ya maji tu huwezi! aah mambo gani haya!
Mada kama hizi najua hazina wafuasi wengi, basi ngoja nikomee hapa, wewe twambie uliwahi kubuni/kutengeneza nini wewe kama wewe!!
Kitoga ni ugonjwa gani mkuuNimetumia akili yangu kugundua kuwa dawa ya kuku anayeumwa kitoga ni kumnyonyoa mkia tu basi......toa manyoya yote ya mkiani na atapona mara moja.
Elimu haijanisaidia sana kimaisha zaidi ya kunigeuza kuwa msaidia watu nisiyechoka.....nikianza kumsaidia mtu mpaka atanifukuza yeye mwenyewe
Nywele 1 [emoji23]haipingwi! huwa unatumia malighafi gani [emoji23][emoji23][emoji23]