kingukitano
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,971
- 497
Kwa mujibu wa kiapo cha kukiri kuwa mwaminifu kwa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania,kuitii jamhuri ni kutii aina ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar,
Warioba kafie mbele na shirikisho lako
Kidumu chama cha Hayati Nyerere (ccm)
Udumu Muungano wa serikali mbili.
CCM hoyeee,
Ukitukana rekodi zako zitaandikwa na malaika epuka matusi.
Warioba kafie mbele na shirikisho lako
Kidumu chama cha Hayati Nyerere (ccm)
Udumu Muungano wa serikali mbili.
CCM hoyeee,
Ukitukana rekodi zako zitaandikwa na malaika epuka matusi.