Kiapo Bunge la katiba Kimeshaua ndoto ya serikali tatu

Kiapo Bunge la katiba Kimeshaua ndoto ya serikali tatu

Nyambafu huku kijijini hitaji lao ni dawa,maji,bei nzuri ya pamba,korosho..,ajira nk...hizi serikali tatu ni tamaa ya madaraka kwa politician

Kiongozi hapo umenena.lakini majibu ya hayo mahitaji yote yamo ndani ya serikali 3 kiongozi kwani muundo wa sasa ni gharama mno.tunalipa pesa nyingi kwa wabunge toka za Zanzibar kwa kazi gani kwenye bunge letu?
 
kingukitano siku zote watu huwa wanaapa wakiamini kuwa watadumisha viapo vyao lakini kwa wengi huwa sio hivyo, maana mtu anapo apa huwa wanakuwa watu wawili katika yeye yaani anakuwa yeye wa sasahivi na yeye wa baadae na wengi huwa wanadhani na baadae itakuwa kama leo kitu ambacho kinaweza kuwa sio kweli, kwa hiyo tusubiri mjadala kwani kwa sasa kilichowakutanisha ni jamuhuri
 
Last edited by a moderator:
Ni lazima waape hivyo kwani sasa hivi Serikali ya JMT ndio ipo, we ulitaka waape watakuwa watiifu kwa serikali ya Tanganyika wakati bado haipo?


Itakuja tu next time wataapa hivyo it's just a matter of time!

Hahahahaha wa mjengoni jipe mataini kama mgonjwa wa ile kitu
 
kingukitano siku zote watu huwa wanaapa wakiamini kuwa watadumisha viapo vyao lakini kwa wengi huwa sio hivyo, maana mtu anapo apa huwa wanakuwa watu wawili katika yeye yaani anakuwa yeye wa sasahivi na yeye wa baadae na wengi huwa wanadhani na baadae itakuwa kama leo kitu ambacho kinaweza kuwa sio kweli, kwa hiyo tusubiri mjadala kwani kwa sasa kilichowakutanisha ni jamuhuri

Heshima kwsko Hmjamii
 
Last edited by a moderator:
Najua Mtikila atakivunja tu kiapo hicho.........Kiapo kitu gani watu wanaapa mbale ya kanisa wakijua Mungu yupo kuwa kifo ndicho kitawatenganisha na wanaachana iwe kiapo kilichotungwa na wanadamu?
 
Kiongozi hapo umenena.lakini majibu ya hayo mahitaji yote yamo ndani ya serikali 3 kiongozi kwani muundo wa sasa ni gharama mno.tunalipa pesa nyingi kwa wabunge toka za Zanzibar kwa kazi gani kwenye bunge letu?

Kwenye swala la tamaa ya madaraka kwa wanasiasa kwenye muundo wa serikali 3 si hoja.ngoja nikwambie,kwenye huu muundo wa serikali 2 waziri wa afya kwao Zanzibar hivi anamuwakilisha nani bara aliyemchagua mpaka apewe uwaziri kwa watanganiyika? Ndo maana nasema serikali mbili inatufichia maendelea siku ikutoka huko ccm utasema ukweli najua unapata posho hapo lumumba
 
Hahabaha..Kumbukeni kale ka wimbo TBC kabla ya habari,.,,

Baba Nyerere na karumeeeee
Baaba Nyerere na karumee
 
Kwenye swala la tamaa ya madaraka kwa wanasiasa kwenye muundo wa serikali 3 si hoja.ngoja nikwambie,kwenye huu muundo wa serikali 2 waziri wa afya kwao Zanzibar hivi anamuwakilisha nani bara aliyemchagua mpaka apewe uwaziri kwa watanganiyika? Ndo maana nasema serikali mbili inatufichia maendelea siku ikutoka huko ccm utasema ukweli najua unapata posho hapo lumumba

Kaka makusoma.,huo ni udhaifu wa kiutendaji haiwezi kuwa sababu ya kuwa na serikali tatu
 
Kwa mujibu wa kiapo cha kukiri kuwa mwaminifu kwa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania,kuitii jamhuri ni kutii aina ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar,

Warioba kafie mbele na shirikisho lako

Kidumu chama cha Hayati Nyerere (ccm)
Udumu Muungano wa serikali mbili.

CCM hoyeee,

Ukitukana rekodi zako zitaandikwa na malaika epuka matusi.

we boya kweli,nani kakwambia serikali tatu ni kuvunja muungano?au ninani asiyependa muungano?kila mtu anataka muungano udumu lakini serikali tatu boya we.
 
Kaka mzee huyu ni mwongo,how can you jusfify Muungano wa serikali tatu kwa maoni ya wstanzania 27 elfu,Anazeeka vibaya

Bungeni kuna wajumbe wangapi wanao wawakilisha Watanzania karibia milion45. halafu wewe unaona watu27elfu walio toa maon kwa Warioba niwachache.Mimi nashabgaa sana kwa wale wanao ogopa serikali 3 kuwa ni gharama.watuambie kabla ya Muungano serikali ya TANGANYIKA ilikuwa inajiendesha kwa gharama kias gan naZANZIBAR Ilikuwa inajiendesha kwa gharama kias gan na baada ya Muungano ili ongezeka gharams kias gan? msitoe hoja nyepes nyepes mkadhan watu wata waelewa kwa uras . Kama mtatoa hoja zenye mashiko mnaweza mkanishawishi na mimi nikaamini katika serikali 2
 
Kwa mujibu wa kiapo cha kukiri kuwa mwaminifu kwa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania,kuitii jamhuri ni kutii aina ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar,

Warioba kafie mbele na shirikisho lako

Kidumu chama cha Hayati Nyerere (ccm)
Udumu Muungano wa serikali mbili.

CCM hoyeee,

Ukitukana rekodi zako zitaandikwa na malaika epuka matusi.
Kiapo kile hakivunji serikali tatu hata kidogo. Utaona!!
 
Kaka mzee huyu ni mwongo,how can you jusfify Muungano wa serikali tatu kwa maoni ya wstanzania 27 elfu,Anazeeka vibaya

Bungeni kuna wajumbe wangapi wanao wawakilisha Watanzania karibia milion45. halafu wewe unaona watu27elfu walio toa maon kwa Warioba niwachache.Mimi nashabgaa sana kwa wale wanao ogopa serikali 3 kuwa ni gharama.watuambie kabla ya Muungano serikali ya TANGANYIKA ilikuwa inajiendesha kwa gharama kias gan naZANZIBAR Ilikuwa inajiendesha kwa gharama kias gan na baada ya Muungano ili ongezeka gharams kias gan? msitoe hoja nyepes nyepes mkadhan watu wata waelewa kwa uras . Kama mtatoa hoja zenye mashiko mnaweza mkanishawishi na mimi nikaamini katika serikali 2
 
Kwa mujibu wa kiapo cha kukiri kuwa mwaminifu kwa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania,kuitii jamhuri ni kutii aina ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar,

Warioba kafie mbele na shirikisho lako

Kidumu chama cha Hayati Nyerere (ccm)
Udumu Muungano wa serikali mbili.

CCM hoyeee,

Ukitukana rekodi zako zitaandikwa na malaika epuka matusi.

Naona umekuwa too defencive kwa kuwa unajua kabisa huna uhakika na ishu unayoleta. Mbaya zaidi umeshawahukumu wachangiaji. U r not fair aisee
 
Naona umekuwa too defencive kwa kuwa unajua kabisa huna uhakika na ishu unayoleta. Mbaya zaidi umeshawahukumu wachangiaji. U r not fair aisee
Kaka Listener sijawahukumu nimetahadharisha matusi kwani ni Machukizo kwa Bwana
 
naona hata Mtikila kaapa kuilinda serikali ya Muungano wa Tanzania
 
Back
Top Bottom