P I M
Senior Member
- Feb 16, 2011
- 139
- 24
Najua Mtikila atakivunja tu kiapo hicho.........Kiapo kitu gani watu wanaapa mbale ya kanisa wakijua Mungu yupo kuwa kifo ndicho kitawatenganisha na wanaachana iwe kiapo kilichotungwa na wanadamu?
Mtikila kaapa kuilinda serikali ya Muungano