Hakikwanza
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 4,035
- 1,005
Rubbish at workGongo at work!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rubbish at workGongo at work!
Ndio una GPA zaidi ya 4.5 ila huna busara rubbish weye, mwanaharamu kwa taifa hili
Rubbish at work
Mimi ni muumini waserikali moja lakini soma maoni ya Nguruvi3 hapa>>>https://www.jamiiforums.com/great-t...e-cha-kuzinduka-tanganyika-4.html#post8955314
Serikali 1 ndiyo mpango sawa sawia. Zanzibar iwe Mkoa, fullstop.
Jee, mtawaweza wazenji ktk hiloo??
We unaumwa sana you have wisdom from devil or secrete society like FreemasonBusara gani we mnywa Gongo,,hii ya kuendeleza gongo? Kwa hiyo umefuta upumbafu wako kuwa darasani mie mkali,,ila nakosa hekima,mimi nahekimishwa na Mungu,for the fear of the Lord is the genesis of Wisdom,,.the mind should be free of Gongo to be inspired by Yahwes Wisdom..umenisoma Bhavicha?
Demons wakitulia humo kichwani utatuliaGongo ikiisha utatulia Bhavicha,,
Kenwood serikali moja mie pie sina shida nayo kaka ila tatu ni upuuzi
We unaumwa sana you have wisdom from devil or secrete society like Freemason
Hata 2 hazina maana, unaonaje Shein akiwa mkuu wa Mkoa,Maalim Seif na Karume wakawa wakuu wa Wilaya(Pemba& Unguja)??
Kwi kwi kwi!! Hala hala Wazenji msije mkaniFUnja MbaFU.
We umevurugika sanaur stupid comrade,you were supposed to Urgue the topic.,not to attack the author,.sasa ukiambiwa umevurugwa utakua unaonewa?
''Pilipili usoila inakuwashia nini''? Utumwa na Uarabu ukirudi utarudi Zanzibar na siyo Tanganyika.,Hakuna anaeukataa muungano... Labda Maalim Sefu anaetaka kuturudishia utumwa wa kiarabu!
hahahahahahaha,,,kaka wasitusikie wenyewe
Naingia chimbo kabla hawajanisikia.
Mkuu kama kiapo kingekuwa kinasaidia mafisadi wasingekuwepo!Kwa mujibu wa kiapo cha kukiri kuwa mwaminifu kwa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania,kuitii jamhuri ni kutii aina ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar,
Warioba kafie mbele na shirikisho lako
Kidumu chama cha Hayati Nyerere (ccm)
Udumu Muungano wa serikali mbili.
CCM hoyeee,
Ukitukana rekodi zako zitaandikwa na malaika epuka matusi.
Mkuu kama kiapo kingekuwa kinasaidia mafisadi wasingekuwepo!
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
kwani zikiwepo serikali tatu muungano hautakuwepo? hiyo ya muungano itaitwaje au tume ya warioba imeipa jina gani kaka?
kwani zikiwepo serikali tatu ndo muumgano haupo na huyo rais wa muungano atakuwa anaongoza serikali gani?
ebu soma vizuri muundo wa serikali ya shirikisho then utapata jibu sahihi na utagundua kuwa kiapo hicho ni sahihi kabisa kwani hata bunge lenyewe ni la muumgano si la zanzibar wala tanganyika.