Kiapo cha damu nlichokula na boyfriend wangu kinanitafuna aiseee

Damu baada ya hapo Kila mtu alilamba kutoka kwenye kidole chake
 
Laana hutamkwa na mbaraka hutamkww, maagano yoyote ya dam yana nguvu ya nafsi. Hivo mtafute mwanaume wako umkumbushe maagano mliyofanya na umwambie hauko tayari kuvunja mamagano, endapo atakukataa basi wewe utakuwa salama
Ngoja nimtafute ntakupa mrejesho
 
Dogo unafukuzwa na kivuli chako, acha huo ujinga pata dume kula maisha hufi wala nini.

Hayo maneno alijisemea wala sio wewe
Umalaya nimelalwa na ww
 
Hii ina uhusiano kweli kisayansi?
 
Omba Toba na Rehema na soma zaburi ya 51 kwa kumaanisha, ukiwa unaomba taja jina lake...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…