Kiapo cha damu nlichokula na boyfriend wangu kinanitafuna aiseee

Kiapo cha damu nlichokula na boyfriend wangu kinanitafuna aiseee

Sikutushi nakwambia ukweli nimetokea kwenye mazingira ya mambo ya asili sana japo sipendelei ayo mavitu kama mtu anaweza kukuombea mabaya kupitia majina yako tu na ayo mabaya yakakupata vizuri itakua damu Yani apo mlikua mnajiroga bila kujua kama mnajiroga
Kuna mtu alikuliza iyo damu mlipeleka wapi badaa ya kula hicho kiapo hukumjibu alikuliza swali la Msingi sana ushajiuliza kwanini mtu akienda kwa mganga kutibiwa ili apate ulizi huwa anachanjwa afu dawa anapakwa kweny chale zile zenye damu.jibu jepesi Damu ndio nafasi yenyewe ukiweza kulinda Damu ujue umemlinda mtu Damu ni kitu cha muhimu sana kwenye miwili wa Binadamu ki Biology na kiroho.
Damu baada ya hapo Kila mtu alilamba kutoka kwenye kidole chake
 
Laana hutamkwa na mbaraka hutamkww, maagano yoyote ya dam yana nguvu ya nafsi. Hivo mtafute mwanaume wako umkumbushe maagano mliyofanya na umwambie hauko tayari kuvunja mamagano, endapo atakukataa basi wewe utakuwa salama
Ngoja nimtafute ntakupa mrejesho
 
Miezi.kadhaa mwanaume niliyekuwa naye kwenye mahusiano alitoa wazo la kula kiapo cha damu na tuliridhia kweli tulipima kwanza ukimwi alhamdullilah wote tulikuwa negative na kiapo tulikula.

Kama kawaida wote tulitaja consequences za ikitokea mmoja kavunja kiapo ...yeye alisema haya maneno:
"Nikicheat au nikimuacha""(NIwe nateseka kwenye mapenzi .....niwe wa kulia lia na kuachwa ....nisidumu katika ndoa yyt.....maisha yangu yote nimuone yeye ...nikilala na mkaka mwingine niwe kichaa...atakae nioa afe)

Na Mimi consequences nilisema ila sizikumbuki baada ya kudumu miezi 6 tuliachana sababu ya jambo Fulani ila sitaliweka hadharani mtanisamehe.

Na tuliachana ...kiapo hajawai kutaka kuvunja huyo mkaka Kila nkimuambia ananigeuka hajala na Mimi kiapo Mimi kadri navyojaribu kumove on nashindwa sijwahi kujihusisha kimapenzi mwanaume mwingine maana naogopa kuwa kichaa na kufa kwa pamoja kutokana consequences za kiapo.

Naomba mnisaidie ....nimeona Bora kushare na nyie humu ndugu zangu ntakuwa nimetatua nusu ya tatizo ..

Maana mtandoni nimeperuzi naona consequences hutokea Sasa nashindwa kama ni kweli au la... au kuna mmoja aliwai.kuwa victim aniambie.

Asanteni..
Dogo unafukuzwa na kivuli chako, acha huo ujinga pata dume kula maisha hufi wala nini.

Hayo maneno alijisemea wala sio wewe
Umalaya nimelalwa na ww
 
Miezi.kadhaa mwanaume niliyekuwa naye kwenye mahusiano alitoa wazo la kula kiapo cha damu na tuliridhia kweli tulipima kwanza ukimwi alhamdullilah wote tulikuwa negative na kiapo tulikula.

Kama kawaida wote tulitaja consequences za ikitokea mmoja kavunja kiapo ...yeye alisema haya maneno:
"Nikicheat au nikimuacha""(NIwe nateseka kwenye mapenzi .....niwe wa kulia lia na kuachwa ....nisidumu katika ndoa yyt.....maisha yangu yote nimuone yeye ...nikilala na mkaka mwingine niwe kichaa...atakae nioa afe)

Na Mimi consequences nilisema ila sizikumbuki baada ya kudumu miezi 6 tuliachana sababu ya jambo Fulani ila sitaliweka hadharani mtanisamehe.

Na tuliachana ...kiapo hajawai kutaka kuvunja huyo mkaka Kila nkimuambia ananigeuka hajala na Mimi kiapo Mimi kadri navyojaribu kumove on nashindwa sijwahi kujihusisha kimapenzi mwanaume mwingine maana naogopa kuwa kichaa na kufa kwa pamoja kutokana consequences za kiapo.

Naomba mnisaidie ....nimeona Bora kushare na nyie humu ndugu zangu ntakuwa nimetatua nusu ya tatizo ..

Maana mtandoni nimeperuzi naona consequences hutokea Sasa nashindwa kama ni kweli au la... au kuna mmoja aliwai.kuwa victim aniambie.

Asanteni..
Hii ina uhusiano kweli kisayansi?
 
Omba Toba na Rehema na soma zaburi ya 51 kwa kumaanisha, ukiwa unaomba taja jina lake...
 
Back
Top Bottom