Kiapo cha damu nlichokula na boyfriend wangu kinanitafuna aiseee

Nmependa hii asante
 
Kikubwa wewe ndio mwenye makosa WANAUME tuwe makini na hivi vibinti unyoya kilikula kiapo kama malaika hata mwaka haujapita kamegeuka kashetani hapa kinaombea msaada

Chamsingi wewe move on ukigeuka kichaaa ni wewe mwenyewe usipogeuka sema alhamdulilah ila motoni hukwepi
 
Hicho kiapo kitakuwa na nguvu dhidi yako kama wewe utakipa nguvu tu.

Ukikipotezea hakina nguvu kwako.

It is all psychological.
 

Physchology
 
Kama yupo hai mtafute, kuna namna ya kuvunja. But kama huwez mpata basi ingia kwenye maombi mazito sana
 
Hujasema mlivyofanya hicho kiapo mlitumia damu ipi na mlikua wapi na nani?
 
Na hataki kuja tuvunje hayo maneno itakuwaje
Umeambiwa kuvunja hayo maneno ni mpaka yeye awepo? Anza wewe either kwa kufunga na kuomba kwa muda utakaojipangia huku ukikana na kukivunja iko kiapo kwa maneno yako amini it will work.
Kwani hizo damu mulikunywa au mlichanganya alafu mkazifukia au vipi ilikuwaje?
 
CCM INAWAPUMBAVU WENGI SANA
 
Wewe ni mwanaume au mwanamke?

Huyo mpenzi wako alisema............ akijihusisha na mkaka mwimgine awe kichaa na atakayemuoa afe...... Hiyi maana yake huyo mpenzi wako ni mwanamke

Wewe unasema,......... hujajihusisha na mwanaume mwingine unaogopa kuwa kichaa......... Hiyo ina maana na wewe ni mwanamke

Kwahiyo nyie wote ni wanawake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…