Kiapo cha damu nlichokula na boyfriend wangu kinanitafuna aiseee

Chai ya baridi sasa ndio hii
 
Mimi wa kike ye kiume
 
Jamaa katunga scrip imeungua CD
 
Ukiamini basi utapata unayoyaamini. watu wanakula viapo wameshika misahafu halafu viapo wanavivunja na hakuna kinachotokea.
 
Kuna watu wanakula kiapo kanisani, mbele ya altare, huku wameshika biblia mkononi, kuwa hawatoachana milele lakin baada ya mwaka wanaachana

Sembufe nyie mliolia kiapo gest?
 
Finally Decoded..
 
Imani yangu ipo chini
Elezea hicho kiapo mlikula wapi na ukafanya nini ukavunja agano? Mnacheza na vifungo? Usije ukajaribu siku nyingine na asikuongopew mtu kwamba haipo ukianza kuwehuka hatokuwepo kukusaidia, cha kukusaidia mtafute aliewafunga umwambie ajue jinsi ya kuwafungua kinyume na hapo umenasa pabaya, najua hapo unapoficha sababu ni kuliwa na lijamaa lingine jamaa akakubwaga mazima huku ukiwa umefungwa yeye akateembea zake na kwenda kujitoa minyororo
 
Hapana sikucheat wala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…