Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Mara NI yeyeUtasikia matamki "chadema iko imara kuliko wakati meingine"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara NI yeyeUtasikia matamki "chadema iko imara kuliko wakati meingine"
Under what argument to think negatively?Under what argument to think positively
Hapa kuna mambo yaliyopo nyumba ya pazia ambayo yamewapata hawa akina Mdee, Bulaya na Matiko.
Lakini hakuna hata mmoja aliyewawazia upande wa pili.
Wote mnachezeshwa ngoma na CCM, mnawaaccuse USALITI tu.
Lakini mnaelewa nini kimewasibu.
Just please try hata siku moja be positive. Think different
Acheni utopolo bana! Error in thinking.Hapa kuna mambo yaliyopo nyumba ya pazia ambayo yamewapata hawa akina Mdee, Bulaya na Matiko.
Lakini hakuna hata mmoja aliyewawazia upande wa pili.
Wote mnachezeshwa ngoma na CCM, mnawaaccuse USALITI tu.
Lakini mnaelewa nini kimewasibu.
Just please try hata siku moja be positive. Think different
Nakuunga mkono mkuu.Tatizo kubwa la wabongo hatujui siasa ni nini. Pamoja na yote yaliyotokea ktk uchaguzi CDM wangesusia hizi nafasi 19 za wabunge viti maalum ningewashangaa sana. Katika mapambano ya kisiasa eneo bunge ni muhimu sana katika kupaza sauti.
Cdm iko imara,,ha ha ha,,si waliwambia lindeni kura,mkaenda kulala?,sasa msaliti ni cdm au wananchi?Utasikia matamki "chadema iko imara kuliko wakati meingine"
Sina chama lakini nawaunga mkono akina mdee, kwasababu wanahitaji hela ili chama.kiendelee kuendesha shughuli zake.CCM ndio mnaowatetea kina Halima Mdee. Huyu Ni kigeugeu jina lake tu utata mtupu, hajulikani hata dini gani Halima James
Hahahahahaambayo hata mwenyewe umeshindwa kunyaandika,haaa haaa hii ndo Tz
Usaliti ni usaliti tu hata kama umeelekezewa bunduki kichwani. Hivyo hata hayo yaliyopo nyuma ya pazia ni usaliti tu.Hapa kuna mambo yaliyopo nyumba ya pazia ambayo yamewapata hawa akina Mdee, Bulaya na Matiko.
Lakini hakuna hata mmoja aliyewawazia upande wa pili.
Wote mnachezeshwa ngoma na CCM, mnawaaccuse USALITI tu.
Lakini mnaelewa nini kimewasibu.
Just please try hata siku moja be positive. Think different
Zamani kabisa ilikuwa tunasema NI YEYE. Siku hizi tunasema NI WAO.Hapa kuna mambo yaliyopo nyumba ya pazia ambayo yamewapata hawa akina Mdee, Bulaya na Matiko.
Lakini hakuna hata mmoja aliyewawazia upande wa pili.
Wote mnachezeshwa ngoma na CCM, mnawaaccuse USALITI tu.
Lakini mnaelewa nini kimewasibu.
Just please try hata siku moja be positive. Think different
Tulia dawa iingie weweCCM ndio mnaowatetea kina Halima Mdee. Huyu Ni kigeugeu jina lake tu utata mtupu, hajulikani hata dini gani Halima James
Madada poa hao. Wakikunwa wanachekelea. Hata nyoka alienda kumkuna kwanza Hawa ndipo akafanikiwa kumlaza Adam. Tunaambiwa na maandiko kuwa ishini na wanawake kwa akili.Hapa kuna mambo yaliyopo nyumba ya pazia ambayo yamewapata hawa akina Mdee, Bulaya na Matiko.
Lakini hakuna hata mmoja aliyewawazia upande wa pili.
Wote mnachezeshwa ngoma na CCM, mnawaaccuse USALITI tu.
Lakini mnaelewa nini kimewasibu.
Just please try hata siku moja be positive. Think different
Kwa mfano wewe ukitekwa alafu watekaji wakakulawiti, ukifika hadharani utasema kuwa miongoni mwa mateso niliyopata ni kulawitiwa?Mambo gani waseme utamaduni wa unafiki ni mbaya sana kama kuna makubaliano yasemwe watu waelewe kula gani la kuficha!
Apoteze maisha yake kisa wewe usimuone msaliti? Zile kesi mahakamani utamdhamini wewe?Usaliti ni usaliti tu hata kama umeelekezewa bunduki kichwani. Hivyo hata hayo yaliyopo nyuma ya pazia ni usaliti tu.
Kwani ulishasikia mwanamke ana dini? Kama mume wake alimweleza abadili jina la ukoo akaitwa James kuna tatizo gani? Mama wa Taifa anaitwa Maria Nyerere?? sasa kwa Halima lipi geni? Bujibuji una msongo wa mawazo pole usije ukajitundika, wenzako ndiyo wanavuta mkwanja tangu bunge lilipozinduliwaCCM ndio mnaowatetea kina Halima Mdee. Huyu Ni kigeugeu jina lake tu utata mtupu, hajulikani hata dini gani Halima James