Uchaguzi 2020 Kiapo cha Halima Mdee na wenzake: Mnawaonea kuwaita wasaliti bila kujua kilicho nyuma ya pazia

Uchaguzi 2020 Kiapo cha Halima Mdee na wenzake: Mnawaonea kuwaita wasaliti bila kujua kilicho nyuma ya pazia

Hapa kuna mambo yaliyopo nyumba ya pazia ambayo yamewapata hawa akina Mdee, Bulaya na Matiko.

Lakini hakuna hata mmoja aliyewawazia upande wa pili.

Wote mnachezeshwa ngoma na CCM, mnawaaccuse USALITI tu.

Lakini mnaelewa nini kimewasibu.

Just please try hata siku moja be positive. Think different
Mtendaji Mkuu wa chama ambaye ndiyo KATIBU MKUU amehojiwa jana kajibuje kuhusu hilo? hapo ndipo wananchi wanaposimamia - kauli ya KATIBU Mkuu ndiyo kauli ya chama na ndiyo msimamamo wa chama.
 
Hapa kuna mambo yaliyopo nyumba ya pazia ambayo yamewapata hawa akina Mdee, Bulaya na Matiko.

Lakini hakuna hata mmoja aliyewawazia upande wa pili.

Wote mnachezeshwa ngoma na CCM, mnawaaccuse USALITI tu.

Lakini mnaelewa nini kimewasibu.

Just please try hata siku moja be positive. Think different
Ni wakati wananchi wa tanganyika waelewe kuwa hii nchi si ya kupiganiwa na chama fulani, bali watu wote. Hata kama huendi vitani, watie moyo waliopo vitani, sio unawaacha unaenda kula bata unategemea wafie huko kwa ajili yako. Wananchi mjifunze. Chama hakiwapiganii msipojipigania wenyewe

Acheni upumbavu bwana.
 
Back
Top Bottom