Uchaguzi 2020 Kiapo cha Halima Mdee na wenzake: Mnawaonea kuwaita wasaliti bila kujua kilicho nyuma ya pazia

Mtendaji Mkuu wa chama ambaye ndiyo KATIBU MKUU amehojiwa jana kajibuje kuhusu hilo? hapo ndipo wananchi wanaposimamia - kauli ya KATIBU Mkuu ndiyo kauli ya chama na ndiyo msimamamo wa chama.
 
Ni wakati wananchi wa tanganyika waelewe kuwa hii nchi si ya kupiganiwa na chama fulani, bali watu wote. Hata kama huendi vitani, watie moyo waliopo vitani, sio unawaacha unaenda kula bata unategemea wafie huko kwa ajili yako. Wananchi mjifunze. Chama hakiwapiganii msipojipigania wenyewe

Acheni upumbavu bwana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…