Kiapo cha Rais wa Marekani kina maneno machache (35) tofauti na cha Rais wa Tanzania, siyo lazima kusema "Mungu nisaidie"

Kiapo cha Rais wa Marekani kina maneno machache (35) tofauti na cha Rais wa Tanzania, siyo lazima kusema "Mungu nisaidie"

Kweli ni tupi lakini imeshiba

Screenshot_20210121-091808.jpg
 
Rais na makamu wake walimalizia viapo vyao kwa kusema "so help me God", ukisikia "God" ni Mungu siyo dhahabu za Geita.
Umeambiwa siyo lazima kusema hivyo bali ni hiyari.

Vipi huko kwenu Malawi Corona imepungua?
 
Ukiona mtu anaapa sana Haki ya Mungu kila wakati ujuwe huyo mtu sio wa kuamini anatumia nguvu sana. Nadhani USA wao wanadhani anaweza kuja mtu haamini dini akawa Rais kitu kikubwa kiapo chao hakina mbwembwe sana rahisi maneno machache ila wanaheshimu sasa huku utasema ngonjera vitendo zero.
 
Nilijua unakiweka na hicho kiapo lakin pia tambua sio lazma wafanane. Anayeandaa kiapo ni watu tofauti wenye mawazo tofauti.

Oath of Office

I do solemnly swear (or affirm) that I will support and defend the Constitution of the United States against all enemies, foreign and domestic; that I will bear true faith and allegiance to the same; that I take this obligation freely, without any mental reservation or purpose of evasion; and that I will well and faithfully discharge the duties of the office on which I am about to enter: So help me God.
 
Bado sijafanikiwa kupata connection kati ya mahubiri ya Mastai na viapo vya Marais. Sijaelewa ni kwanini umeanza Kwa kumtaja Mastai.
 
Guys wale wa kuwaabudu wamarekan they know nothing in this world, wanahisigi issue za Vietnam n movie tuu
 
Tanzania unaapa kwa kusema "Mungu nisaidie" halafu unaiba kura!
Kiukweli baada ya kile kiapo cha kumshirikisha Mungu kinachofuata ni madhambi mengi sana na uvunjifu wa sheria na kanuni mbalimbali.

Ningetamani hivi viapo pale mtu anapivivunja au kuvunja sheria aidha dhahiri au kwa siri au kwa ujanja adhurike vibaya sana. Kwa mila za zamani viapo vya kimila was very serious matter ukivunja kiapo lazima udhurike but now hakuna kitu kabisa.
 
Back
Top Bottom