Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Ni kiapo cha damu na maji, hii ni kwasababu vyote viwili vina uhai na katika kukutanika kwao huumba roho isiyokufa na yenye madhara makubwa kutokana na kiapo au manuizi husika.
Kuna hivi viapo vya kuchoma moto maandishi ya damu, hivi humtesa mtu kwa muda tuu lakini baadae hufa na kupoteza nguvu kabisa lakini pia vikiwa vimeshaacha madhara makubwa tuu, chukulia mfano moto unavyoteketeza mali au uhai.
Kiapo kingine cha manuizi ni kile cha njiapanda, cha kuandika manuizi yako na kwenda kuyatupa au kuyazika njiapanda, hapa yatakanyagwa na kila aina ya watu kutoka pande zote, hiki hufanya Kazi mbaya sana kipindi cha uhai wake, mlaaniwa huteseka hasa na hafanyi lolote atafanikiwa mpaka ile katarasi na vitu vyake vioze vyote na kuharibika kabisa.
Lakini kiapo laana cha maji ni kitu kinachoishi milele, na husambaa mbali kwakuwa robotatu ya dunia ni maji na robotatu ya mwili wa binadamu ni. Maji pia na vyote vina uhai.
cc:blogmaster
Kuna hivi viapo vya kuchoma moto maandishi ya damu, hivi humtesa mtu kwa muda tuu lakini baadae hufa na kupoteza nguvu kabisa lakini pia vikiwa vimeshaacha madhara makubwa tuu, chukulia mfano moto unavyoteketeza mali au uhai.
Kiapo kingine cha manuizi ni kile cha njiapanda, cha kuandika manuizi yako na kwenda kuyatupa au kuyazika njiapanda, hapa yatakanyagwa na kila aina ya watu kutoka pande zote, hiki hufanya Kazi mbaya sana kipindi cha uhai wake, mlaaniwa huteseka hasa na hafanyi lolote atafanikiwa mpaka ile katarasi na vitu vyake vioze vyote na kuharibika kabisa.
Lakini kiapo laana cha maji ni kitu kinachoishi milele, na husambaa mbali kwakuwa robotatu ya dunia ni maji na robotatu ya mwili wa binadamu ni. Maji pia na vyote vina uhai.
cc:blogmaster