Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanashindwa kusema tu, wana chuki na Uislam na Waislam.Kuna shida gani safari channel kutumia kiarabu?
لن يضركم الا اذى[
="Hammer11, post: 51641552, member: 743724"]
Sio chuki hata wewe uislamu haukuhusu wewe mwarabu unashindwa kuwatetea babu zako wewe kutwa warabu warabu uislamu wenyewe uongo ety kuna bicra 72 ko mungu kazi yake kuumba tu bicra huko mbinguni huu si utoto
Ila waarabu unawatusi na wazungu unawasifu?Kiukweli mm siwapendi wazungu wala warabu na hata dini zao siziamin siwez amini dini imekuja na jahazi mm sio mpuuzi
Kwa hiyo ni Waarabu wnaitazama Safari Channelkinalenga watalii wa nchi za kiarabu mkuu
Kwanini wasitazame? Na wao ndiyo wenye ndege nyingi zinazokuja Tanzania kuliko nchi nyingine yoyote.Kwa hiyo ni Waarabu wnaitazama Safari Channel
Ili wazanzibari waweze kuyaelewa matangazo.Mimi sio mtazamaji wa TV wa mara kwa mara.
Imetokea Leo nipo mapumziko kidogo.
Katika kutafuta burudani nikajikuta naangalia Safari Channel, (nafikiri ni Kituo Cha Taifa).
Cha ajabu katika matangazo yao ya vivutio vya utalii Nchi, kulikuwa na maelezo (nafikiri kuhusu vipindi hivyo) yalikuwa yaayolewa Kwa Kiarabu!
Nikajiuoizà hii imeanza lini?
Au Ndio paradigm shift to Middle East!
poaWaarabu na utalii wapi na wapi? Wao utalii wao ni kuhiji
Basi na ile muvi ya loyo tuwa angeenda kuivumbulia saudia ili tujue moja basi,yaani wazenji wanapenda waarabu sana😁😁😁🤔🤔🤔 amalize mda wake bhanaKuna shida gani safari channel kutumia kiarabu?
Waarabu na utalii wapi na wapi? Wao utalii wao ni kuhiji
Yani chuki mbaya sana mpaka unafikia mtu Anajua uislam ni kiarabu kingekua kingereza usinge kuja hapa labda kwa kusifiaMimi sio mtazamaji wa TV wa mara kwa mara.
Imetokea Leo nipo mapumziko kidogo.
Katika kutafuta burudani nikajikuta naangalia Safari Channel, (nafikiri ni Kituo Cha Taifa).
Cha ajabu katika matangazo yao ya vivutio vya utalii Nchi, kulikuwa na maelezo (nafikiri kuhusu vipindi hivyo) yalikuwa yaayolewa Kwa Kiarabu!
Nikajiuoizà hii imeanza lini?
Au Ndio paradigm shift to Middle East!
Inakera sana kuona mtu anabisha kitu ambacho ni cha kweli.Hakuna kitu kama hicho.
Hii ndio Chanel yangu pendwa sana ninayo itazama.
Kwaasilimia kubwa yanayo elezwa nakuoneshwa niutangazaji wa vivutio vyetu na lugha inayo tumika kwa asilimia 99 ni kiswahili.
Labda kama ulikua ushajidunga konyagi ukawa unasikia kiarabu au kihindi.