Kiasi gani kikubwa kabisa cha fedha ulichowahi kutumia kwenye kula au kuliwa tunda?

Kiasi gani kikubwa kabisa cha fedha ulichowahi kutumia kwenye kula au kuliwa tunda?

Mimi huwa naona huruma sana ,yaani mtoto wa mtu nitembee nae halafu nimuache bila hela ya pedi na supu? mtu unamuachia buku 5? inamsaidia nini?

Mimi nikitoka na mwanamke akinipa mambo gharama zipo hivi,

-Guest 25,000 hadi 30,000
-Vyakula 30,000
-Nauli kuja 20,000 kama sijamfuata au kama nimetangulia
-Nauli kuondoka 30,000 hadi 50,000

Yaani Siku moja 80,000 hadi 100,000

Akija kwangu,

-Nauli 20,000
-Chakula 15,000
-Nauli kuondoka 40,000
Yaani siku moja 75,000

Tukioeana sana basi
-Nauli 10,000
-chakula 15000
-Akiondoka 30,000
Yaani siku moja 55,000

ila maisha haya ,wakati demu wako haizidi hata 50,000 mkiamua kufanya yenu akija

Yaani sifanyi hayo mambo mara kwa mara kuogopa gharama , mtoto wa mtu naogopa sana kumkandamiza ni bora nibaki na ugumu wangu kwa mda
 
Katika harakati za ujana chuoni, kuna manzi nilikuwa namkubali balaa, nilikuwa najua ndio nitamuoa kabisa baada ya kutendwa na wa kwanza

Basi nilimuhudumia sana yule Demu kwa dhati kabisa.

Basi siku zote alikuwa anakuja Ghetto maeneo ya Sinza. Sasa kuna siku niliwaza nimpe the best moment ya mgegedo.
Nikafanya Research ya best Hotel pale Sinza nikaona pale Grand Villa enzi hizo inatamba balaa bado mpya mpya 2010+

Room tuu ilikuwa 80/90,000/= nikajilipua
Nikampeleka hapo Mtoto show yenyewe sikufurahia sana wala nini, maana Bikra ilikuwa haijatoka Vizuri.

Total costs ya room na vinywaji/Chakula usafiri ilikuwa kama 150,000/= TZS
Nilijishangaa sana why nimechoma Hela nyingi hivo.

Ila ishapita na tushaachana kila Mtu na mishe zake sasa

Je mdau mwenzangu wewe ni kiasi gani kikubwa kabisa ulitumia kwa mgegedo mmoja?

CC: rikiboy Samboko 13 mega pixel Mshana Jr Kasie @prondo GuDume Mrs Bishanga miss chaga Atoto Mzigua90 Khantwe
Nilichoma kitita cha shilingi elfu kumi na mbili kutuma nauli na hakuja
 
Back
Top Bottom