Kiasi gani kikubwa kabisa cha fedha ulichowahi kutumia kwenye kula au kuliwa tunda?

Kiasi gani kikubwa kabisa cha fedha ulichowahi kutumia kwenye kula au kuliwa tunda?

Aahahahahhahaaa furahi baba ni wikiendi hii. Mie mgegedo kwangu ndo kitu nambari moja kwenye listi yangu ya mahitaji na niko tayari kuugharamia tuu nishibe na si nilambishwe lambishwe au kupakwa shombo akuuu nataka msosi heavyy nilee hadi nikifuu aahahahhahahaa

Nnavopenda maadvencha sasa tupange tuu sidhani kama itakuwa na madhara, niambie siku tarehe mwezi mwaka na wakati eehehehehheee

Asisome tuu mkadama hapa maana ataenda kunisemea nyumbani kuwa nasafiri bila visa wala ticket eehehehehheee

Kasinde.
Kasie Matata mahaba mahabani. Umesomeka Mnyamwezi.
 
Kuanzia mtoa uzi mpaka wachangiaji wake,mna maskhara sana! Nilifikiri ntakuta gharama kuanzia Milioni kwenda mbele...Nimegundua ndio ninyi mmeanzisha makampeni yenu Eti Tusisomeshe.
 
Gharama kubwa inategemea na kipato chako cha muda huo..let say wewe unatengeneza 10m/month ukitumia 500k utaona ni kidogo tu..

Mimi nakumbuka nilitumia 35k ambayo ilibidi nilipie tuition ili nisome Advanced Organic Chemistry+Wave(watu wa PCB hapa mmenipata)..nikakapanga kademu kangu kakaja lodge,nikapiga..baadae nikakanunulia chipsi kuku na vinywaji,then kakarudi kwao Kiboroloni..nilijuta sana baadae

Nilikuja kusoma lakini kwa kuibia pale tuition

Kwa Mkandawiree...???
 
Nimejiandaa Princess wangu......💪

Hapa nina dumu la asali lita 20 kutoka Tabora kwa ajili yako mrembo, nitakufanyia massage ya ulimi kutoka kichwani hadi kwenye unyayo. Jiandae kujinyonga nyonga kama nyoka kwa utamu wa massage 😋😋😍😍

Lets go....
 
Katika harakati za ujana chuoni, kuna manzi nilikuwa namkubali balaa, nilikuwa najua ndio ntamuoa kabisa baada ya kutendwa na wa kwanza
Basi nilimuhudumia sana yule Demu kwa dhati kabisa.
Basi siku zote alikuwa anakuja Ghetto maeneo ya Sinza.
Sasa kuna siku niliwaza nimpe the best moment ya mgegedo.
Nikafanya Research ya best Hotel pale sinza nikaona pale Grand Villa enzi hizo inatamba balaa bado mpya mpya 2010+
Room tuu ilikuwa 80/90,000/= nikajilipua
Nkampeleka hapo Mtoto show yenyewe sikufurahia sana wala nini, maana Bikra ilikuwa haijatoka Vizuri.
Total costs ya room na vinywaji/Chakula usafiri ilikuwa kama 150,000/= TZS
Nilijishangaa sana wai nimechoma Hela nyingi hivo.
Ila ishapita na tushaachana kila Mtu na mishe zake sasa

Je mdau mwenzangu wewe ni kiasi gani kikubwa kabisa ulitumia kwa mgegedo mmoja?

CC: rikiboy Samboko 13 mega pixel Mshana Jr Kasie @prondo GuDume Mrs Bishanga miss chaga Atoto Mzigua90 Khantwe
Nilitumia Elfu 30 hadi Leo najuta ningenunua hata matofali,sasa hivi location ni ghetto tu hakuna sehemu nyingine hutaki sepa
 
Yeah, ila kwa gharama zangu. Tiketi ya kwenda na kurudi gharama za hoteli na kula. Visa na zawadi nilizojinunulia zote gharama yangu.
Najua wewe ni mtu mzima so sintaongea tofauti ila unampeleka mwanaume outing eti kwa gharama zako seriously nabado unamvulia nguo kweli .
How do you feel until now .
Ikute ukampa na hela kabisa ya asante kwa alichofanya Dah this is too much ndio maana kwenye maisha utakuta kijana kazoea msichana afanye vitu vyote why kuna wamama wadada vibinti vinajikomba kwao.
Mimi simpi mwanaume hata mia hata kama niwe billionea never mimi nitampa mapenzi tu kama biblia inavyosema mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaume atatafuta kwa jasho tayari hapo umetenda dhambi kutafuta kwa jasho na kumpa mwanaum e.
Sasa ni hivi wanawake badilikeni.
SEMENI STOP KULEA WANAUME .
 
Najua wewe ni mtu mzima so sintaongea tofauti ila unampeleka mwanaume outing eti kwa gharama zako seriously nabado unamvulia nguo kweli .
How do you feel until now .
Ikute ukampa na hela kabisa ya asante kwa alichofanya Dah this is too much ndio maana kwenye maisha utakuta kijana kazoea msichana afanye vitu vyote why kuna wamama wadada vibinti vinajikomba kwao.
Mimi simpi mwanaume hata mia hata kama niwe billionea never mimi nitampa mapenzi tu kama biblia inavyosema mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaume atatafuta kwa jasho tayari hapo umetenda dhambi kutafuta kwa jasho na kumpa mwanaum e.
Sasa ni hivi wanawake badilikeni.
SEMENI STOP KULEA WANAUME .

1. Don't take JF quotes too seriously...

2. Mahaba hayana menu...

3. Be yourself and live it, never try to understand why they live that way...

4. You all gat me wrong, you would've asked rather than conclude. As long as you had, its done.

Kasinde Mahaba Matata.
 
1. Don't take JF quotes too seriously...

2. Mahaba hayana menu...

3. Be yourself and live it, never try to understand why they live that way...

4. You all gat me wrong, you would've asked rather than conclude. As long as you had, its done.

Kasinde Mahaba Matata.
Naomba unieleze nielewe sichukulii vitu humu seriously lakini kwa watu wazima kama nyie nachukulia most of things seriously
 
Naomba unieleze nielewe sichukulii vitu humu seriously lakini kwa watu wazima kama nyie nachukulia most of things seriously

Usijali, hii mada ipotezee.

Bado ziko mada elfu moja na moja na zaidi, utaelewa tuu taratibu.

Mtu mzima mie sio mara zote nazungumzia vitu sirias, yapasa utulivu wa akili kung'amua hapa kigagula Kasie yuko sirias au laah.

K' Moja Matata.
 
Duuu hili Tango pori wewe huyo ujilipie na maujuzi yote hayo


Hata nikidadavua, sikio la kufa huwa halisikii dawa.

Acha ibaki hivyohivyo...

Ishaisha na kubaki stori.

Mahaba Matata daima dumu kwa Kasinde.
 
Back
Top Bottom