Kiasi gani kikubwa kabisa cha fedha ulichowahi kutumia kwenye kula au kuliwa tunda?

Kasie Matata mahaba mahabani. Umesomeka Mnyamwezi.
 
Kuanzia mtoa uzi mpaka wachangiaji wake,mna maskhara sana! Nilifikiri ntakuta gharama kuanzia Milioni kwenda mbele...Nimegundua ndio ninyi mmeanzisha makampeni yenu Eti Tusisomeshe.
 
Kumbe mm sina ubaharia wowote. Hongera mabaharia
 

Kwa Mkandawiree...???
 

Lets go....
 
Nilitumia Elfu 30 hadi Leo najuta ningenunua hata matofali,sasa hivi location ni ghetto tu hakuna sehemu nyingine hutaki sepa
 
Yeah, ila kwa gharama zangu. Tiketi ya kwenda na kurudi gharama za hoteli na kula. Visa na zawadi nilizojinunulia zote gharama yangu.
Najua wewe ni mtu mzima so sintaongea tofauti ila unampeleka mwanaume outing eti kwa gharama zako seriously nabado unamvulia nguo kweli .
How do you feel until now .
Ikute ukampa na hela kabisa ya asante kwa alichofanya Dah this is too much ndio maana kwenye maisha utakuta kijana kazoea msichana afanye vitu vyote why kuna wamama wadada vibinti vinajikomba kwao.
Mimi simpi mwanaume hata mia hata kama niwe billionea never mimi nitampa mapenzi tu kama biblia inavyosema mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaume atatafuta kwa jasho tayari hapo umetenda dhambi kutafuta kwa jasho na kumpa mwanaum e.
Sasa ni hivi wanawake badilikeni.
SEMENI STOP KULEA WANAUME .
 

1. Don't take JF quotes too seriously...

2. Mahaba hayana menu...

3. Be yourself and live it, never try to understand why they live that way...

4. You all gat me wrong, you would've asked rather than conclude. As long as you had, its done.

Kasinde Mahaba Matata.
 
Naomba unieleze nielewe sichukulii vitu humu seriously lakini kwa watu wazima kama nyie nachukulia most of things seriously
 
Yeah, ila kwa gharama zangu. Tiketi ya kwenda na kurudi gharama za hoteli na kula. Visa na zawadi nilizojinunulia zote gharama yangu.
Duuu hili Tango pori wewe huyo ujilipie na maujuzi yote hayo
 
Naomba unieleze nielewe sichukulii vitu humu seriously lakini kwa watu wazima kama nyie nachukulia most of things seriously

Usijali, hii mada ipotezee.

Bado ziko mada elfu moja na moja na zaidi, utaelewa tuu taratibu.

Mtu mzima mie sio mara zote nazungumzia vitu sirias, yapasa utulivu wa akili kung'amua hapa kigagula Kasie yuko sirias au laah.

K' Moja Matata.
 
Duuu hili Tango pori wewe huyo ujilipie na maujuzi yote hayo


Hata nikidadavua, sikio la kufa huwa halisikii dawa.

Acha ibaki hivyohivyo...

Ishaisha na kubaki stori.

Mahaba Matata daima dumu kwa Kasinde.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…