Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,586
- 7,087
Si hats yule mungu waliotuletra in mzungu, sisi bafo hatukavumbua mungu wetu.Unategemea hukumu itakuwa ya haki kweli mzungu atakapomuhukumu mweusi dhidi ya mzungu.Hadi peponi watatutangulia vilevile,.nini teknolojia
Katika technology wametuzidi, tujifunze kukubali baathi ya mambo, kuna mambo mengine tumewazidi
Cha ajabu Hadi Leo hii tunafundishwa namna ya kunawa mikono ili kujiepusha na kipindupindu....
Sisi waafrica tumeachwa zaidi ya miaka 1000
Katika technology wametuzidi, tujifunze kukubali baathi ya mambo, kuna mambo mengine tumewazidi
Tumewazidi melanini kwa ngozi [emoji276]
Kwenye mambo ya kugegedana, style mbalimbali, kukata viuno, umbea, uvivu, maneno mengi, nk huko tumewaacha mbali sana..
Yale mambo ambayo bibi yako wa Namtumbo au mjomba wako wa Shinyanga angekatwa katwa mapanga kuitwa mchawi wenzio wameyafanya na wanafikiria pakubwa zaidi!.Kwanza kabisa nataka niweke bayana wazungu ambao nawazungumzia, hawa ni wazungu ambao walikuja huku kwetu Afrika na kututawala, kwa kesi yetu ya Tanzania nitawaongelea Wajerumani na Waingereza.
Kutokana na kufanyika mradi mkubwa wa reli SGR hapa tanzania nitatumia reli kama uwanja wa kutupima sisi watanzania na wazungu, haya ndo majibu yanayopatikana
WAMETUZIDI MIAKA >200+
Treni na reli kwa wazungu sio kitu kigeni kwani wanacho tokea miaka ya 1800, hivyo basi kutokana na sisi mpaka sasa kutokuwa na uwezo wa kutengeneza treni na reli yetu hivyo inatuonyesha ya kwamba ni miaka zaidi ya mia mbili wapo mbele.
Hii inamaanisha kama ni umri basi wao wapo mbele miaka mia mbili na zaidi hali hii inawafanya kuwa na uzoefu mkubwa sana kulinganisha na sisi, chukulia mfano mtu mwenye uzoefu wa miaka kumi alivyo kuwa mjuzi itakuwa vipi kwa mtu mwenye uzoefu miaka mia mbili na zaidi.
Kutokana na kuwa na jibu ambalo sio number kamili ( miaka mia mbili na Zzidi) nataka kutumia baathi ya nadharia ili kufanikisha adhimio langu la kupata miaka kamili ya kiasi ambacho tumepitwaa na wazungu hivyo natumia kigezo cha utambuzi wa majengo ya kihistoria ambapo kwa Tanzania jingo la utambuzi unaanzia miaka 1868 na kushuka chini, na ukiangalia Wajerumani nyumba zao za kihistoria zinanza miaka ya 1300 sasa kwa kufanya hesabu za kutoa. Tupapata tukitafutacho.
1868 – 1300 = 568
Hivyo basi napenda kuhitimisha mjadala wangu kwa kusema ya kwamba tumepitwa miaka mia tano na sitini nane.
China na waarabu wapo mbele tangia enzi, cheki great wall of china, angalia arab numeral or name of stars utaelewaTukipita njia walizopita wao tutahitaji miaka 500 kufika walipo leo.Tukiwaiga wao walivyofanya kamwe hatuta wafikia,kwani tutakuwa kuwa tunawafuata kwa nyuma.
Solution ni kutafuta njia yetu ya kufuata angalia nchi kama china na nchi za falme za kiarabu.
Kumbe mda mwingine unaandika pointHakuna mtu duniani anaeweza kukupata teknolojia.
Mzungu kakuweka kwenye dema. Unapowaona wanatangaza "scholarships" mbio mbio mnakimbulia kupeleka "vichwa" vyenu huko, vile vya uhakika wanahakikisha havirudi huku kabisa, labda vije kutembelea ndugu jamaa na marafiki, wiki mbili tu.
Mnafikiri "scholarships" ni msaada ule? Ile ni "investment" inayolipa sana.