Ile statement ya lift ndio ilinifanya nielewe kwa nini tunarushiwaga ndizi.Hili ni jibu tosha. Mpaka leo hatuoni umuhimu wa lifti katika majengo yetu, nafikiri wala hatusongi mbele kujaribu kuwafikia, bali tunatokomea kusikojulikana, tunapoteza mwelekeo.