makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
- Thread starter
- #41
Kisu kinagusa mfupa hapa 🤔Bro zuia 40K.
Nakifuata kutokea Korogwe kesho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kisu kinagusa mfupa hapa 🤔Bro zuia 40K.
Nakifuata kutokea Korogwe kesho
Nifikirie broKisu kinagusa mfupa hapa 🤔
Kuwa muelewa.Nifikirie bro
Siwezi kua muelewa. Sina pesaKuwa muelewa.
Ushaambiwa bei mwisho ni 70k
Kwa wewe ndugu yangu ongezea 10 tu kaka. Nisamehe kwa hili ndugu yangu.Nifikirie bro
Kuwa muelewa.
Ushaambiwa bei mwisho ni 70k
Ana maana yake ndio maana kasema hivyo, tuna ujamaa baina yetu. Yeye sio kwa 70k Tena, kwa 50k tu Nampa kiatu.Kuwa muelewa.
Ushaambiwa bei mwisho ni 70k
Viatu safi kabisa.
Mume anavaa 44/45 na yeye. Ningekuwa nishakutumia pesa faster, si bargain mimiitabidi shemeji tumpeleke kwa sonara tupunguze vidole
Ndio maana yakaitwa maelewano, unaweza usielewe wewe nikaelewa mimiSiwezi kua muelewa. Sina pesa
Itabidi shemeji tumpeleke kwa fundi apunguzwe miguu😂Viatu safi kabisa.
Mume anavaa 44/45 na yeye. Ningekuwa nishakutumia pesa faster, si bargain mimi
Bro hebu ngoja nione wapi najikusanyia kwenye hiliKwa wewe ndugu yangu ongezea 10 tu kaka. Nisamehe kwa hili ndugu yangu.
Hamna tabu ndugu yangu.Bro hebu ngoja nione wapi najikusanyia kwenye hili
hii miguu yetu changamoto sana. kama mimi nahisi wa kushoto mkubwa zaidi maana nikivaaga 44 upande mguu wa kushoto hunibana.Nisingeuza,ndio saizi yangu hiyo 44 kwa 45.
Nmemuonesha picha kavipenda kweli. Na hivi tayari keshaviagiza kuna rafiki yake yupo Turkey.Itabidi shemeji tumpeleke kwa fundi apunguzwe miguu[emoji23]
Ila sisi wenye mamiguu makubwa huwa tunakosa saana viatu vizuri na ukikipata bei yake ni moja ya sababu ya vidonda vya tumbo.
Hatari sana mzeeMaisha haya bana! Hayako fair, Kwamba wenye pesa mfuko wa shati naona wote wanasema kama ingekuwa size 44, 45, 39 au 40 wangefanya muamala fastaa, sisi ambao kinatutosha ndio wale tuna 30,000[emoji848]
Kopa ununue apate present mumeViatu safi kabisa.
Mume anavaa 44/45 na yeye. Ningekuwa nishakutumia pesa faster, si bargain mimi
Halafu Kuna mduwanzi anasema sijui bei kubwa, sijui kimeenda na kurudi 😂🤣Nmemuonesha picha kavipenda kweli. Na hivi tayari keshaviagiza kuna rafiki yake yupo Turkey.
Tena hapa umeweka kwa bei y kutupa. Naweza kusema ni half ya price yenyewe
Nmemuonesha picha kavipenda kweli. Na hivi tayari keshaviagiza kuna rafiki yake yupo Turkey.
Tena hapa umeweka kwa bei y kutupa. Naweza kusema ni half ya price yenyewe
Halafu Kuna mduwanzi anasema sijui bei kubwa, sijui kimeenda na kurudi 😂🤣