Kiatu cha kiume toka uturuki kinauzwa

Kiatu cha kiume toka uturuki kinauzwa

Daaah jeiefu mbona kila mtu tajiri 🤣🤣🤣,elf 70 tu imewasumbua hivi........
 
Nataka kujua kwann siku hizi watu wananunua sana vitu turkey? in general imekuwa kama trendy hivi nini kimepelekea maana zaman haikuwa hivi
Kusema za ukweli vitu vyao vingi ni vizuri kwa design na umadhubuti pia.

Na zamani nafkiri watu wakiogopa bei. Ila saivi wanaona kawaida tu. Na ukute zamani kufanya biashara Turkey/Tanzania ilikuwa gharama ila kwa sasa fursa za biashara zimefunguliwa kwa kiwango kikubwa so watu wengi wanapata kwenda kuleta bidhaa kwa gharama za kawaida tu.
Nchi nyengine yenye vitu vizuri ni Suudia. Kule nako kwa masuala ya outfits hawabahatishi
 
Kusema za ukweli vitu vyao vingi ni vizuri kwa design na umadhubuti pia.

Na zamani nafkiri watu wakiogopa bei. Ila saivi wanaona kawaida tu. Na ukute zamani kufanya biashara Turkey/Tanzania ilikuwa gharama ila kwa sasa fursa za biashara zimefunguliwa kwa kiwango kikubwa so watu wengi wanapata kwenda kuleta bidhaa kwa gharama za kawaida tu.
Nchi nyengine yenye vitu vizuri ni Suudia. Kule nako kwa masuala ya outfits hawabahatishi
Thank you
 
hii miguu yetu changamoto sana. kama mimi nahisi wa kushoto mkubwa zaidi maana nikivaaga 44 upande mguu wa kushoto hunibana.

ila 45 ndio inafiti kote vzr.
Hata mimi mguu wa kushoto ni mrefu kuliko wa kulia.
Mwanzo sikuwa najua hili nilikuwa najaribia kiatu mguu wa kulia nikija kuvaa vyote nakuwa nimetupa hela. [emoji34] [emoji34]
Kuepuka hayo, siku hizi ni mwendo wa viatu wazi tu.
 
Nataka kujua kwann siku hizi watu wananunua sana vitu turkey? in general imekuwa kama trendy hivi nini kimepelekea maana zaman haikuwa hivi
Wabongo tuna tabia ya kuigana, we tizama hata magari, likianza kuingia toleo fulani basi litasambaa saana.
Uchawi aanze mmoja tu halafu akute mali safi bei rafiki, wabongo woote tutatiririkia huko.
 
Huna open ya uturuki uniachie kwa bajeti ya kidugu?
Hii sijui kama ni uturuki au wapi, utanipa sh ngapi, ila hii nimeivaa vaa kidogo. View attachment 2246962
IMG_20211008_181629.jpg
 
Kingekuwa size 45 ningekupa 50k faster.
Naona na wewe una tatzio kama ambalo huwa linanisumbua mimi siku zote. Nimeviona viatu namba kubwa ziko pale Mlimani City kwenye duka linalouza viatu na suti, pale mwanzoni ukiwa kama unatokea Game unapandisha juu kuelekea kule ziliko benki nyingi.

Kuna duka moja pale lina viatu hadi size 47 na 48. Nilishangaa muno. Hilo ndiyo duka pekee watu wenye miguu ambayo size zake zimepinda wanaweza kupata viatu. Bei vinaanzia 250,000/= lakini nadhani hata 230,000/= wanaweza kukuuzia. Ni ngozi roiginal, safi kabisa

Nilipokuwa JKT niliwahi kuletewa buti ya jeshi namba 12, wakati size yangu ni namba 11. Afande akiamrisha "nyuma geuka", nageuka hadi napepesuka. Ilibidi wanitafutie size 11. Buti zilikuja mwanzoni zikawa mwisho namba 10, mimi nikakosa. Walipoleta tena mara ya pili wakaleta namba 12
 
Wabongo tuna tabia ya kuigana, we tizama hata magari, likianza kuingia toleo fulani basi litasambaa saana.
Uchawi aanze mmoja tu halafu akute mali safi bei rafiki, wabongo woote tutatiririkia huko.
Kabisa, kwenye kuigana Tz ndio mahali pake kwenye magari nahis ndio kunaongoza
 
Naona na wewe una tatzio kama ambalo huwa linanisumbua mimi siku zote. Nimeviona viatu namba kubwa ziko pale Mlimani City kwenye duka linalouza viatu na suti, pale mwanzoni ukiwa kama unatokea Game unapandisha juu kuelekea kule ziliko benki nyingi.

Kuna duka moja pale lina viatu hadi size 47 na 48. Nilishangaa muno. Hilo ndiyo duka pekee watu wenye miguu ambayo size zake zimepinda wanaweza kupata viatu. Bei vinaanzia 250,000/= lakini nadhani hata 230,000/= wanaweza kukuuzia. Ni ngozi roiginal, safi kabisa

Nilipokuwa JKT niliwahi kuletewa buti ya jeshi namba 12, wakati size yangu ni namba 11. Afande akiamrisha "nyuma geuka", nageuka hadi napepesuka. Ilibidi wanitafutie size 11. Buti zilikuja mwanzoni zikawa mwisho namba 10, mimi nikakosa. Walipoleta tena mara ya pili wakaleta namba 12
Nitapita hapo siku moja nione japo sera zangu huwa sipendi kununua kiatu kwa bei zaidi ya 100k. Sisi wenye size kuanzia 44 kwenda juu ni changamoto kupata varieties nyingi za viatu.
 
Nitapita hapo siku moja nione japo sera zangu huwa sipendi kununua kiatu kwa bei zaidi ya 100k. Sisi wenye size kuanzia 44 kwenda juu ni changamoto kupata varieties nyingi za viatu.
Kwa size hiyo ya mguu, lazima utakinunua tu!
 
Aisee...
Kiatu pair moja kinajaza SQL server za JF namna hiii.......
 
Back
Top Bottom