Kiatu cha Mwakinyo Hakikuwa na shida yoyote

Kiatu cha Mwakinyo Hakikuwa na shida yoyote

Tumechangia kiasi Gani kama Tanza-nia kumfikisha hapo alipo Leo? Tumempa support kiasi Gani? Tuache maneno ya dharau kwa Watu wanaotafuta maisha Yao wenyewe kwa nguvu zao wenyewe.

Tanza-nia ilishamfanyia figisu nyingi sana sana, tumuache kijana wa watu "If he fails if he succeed, is up to him, at least he lives on what he believe!"
Nguvu ipi aliyotumia jana?
 
Simba imeingiaje kwenye uzi wako?
Simba promo kibao Mbet sijui tumepata bilioni elfu na mia nane ila mpira uwanjani ziro Singapore Big Stars, Utopolo B tu hawaiwezi na makombe yote yako kabatini Yanga.

Simba wachezaji wake bomu sana wanamshawishi kocha wa Taifa Stars mazoezini kuwa wanajua, wakipangwa kwenye mechi kubwa wanachomesha na uwezo unakuwa mdogo. Kama jana walikosekana Sureboy na Farid kocha akajaza maSimba tukala 3 kwa Ubuyu!

Ooh mara Barabarani anajitapa anasema Simba tumetoa wachezaji wote Taifa Stars angalia walivyolitia aibu taifa jana huko Uganda!!shame on Makolo FC!!
 
Tumechangia kiasi Gani kama Tanza-nia kumfikisha hapo alipo Leo? Tumempa support kiasi Gani? Tuache maneno ya dharau kwa Watu wanaotafuta maisha Yao wenyewe kwa nguvu zao wenyewe.

Tanza-nia ilishamfanyia figisu nyingi sana sana, tumuache kijana wa watu "If he fails if he succeed, is up to him, at least he lives on what he believe!"
Na yeye kwanini aliomba tumuombee,amepigwa aache kelele za kiswahili
 
Ukianza vzr bro, sasa kwenye simba tumekufanyaje

Poor investment na kufungwa fungwa snaa na lots of excuses . Sijui tumeona panapovuja na tunafanyia maboresho. Mkija mnapigwa tena

Mmekuwa ni watu wa kujifunza, mkifanya mchezo mnaishia Preliminary stage one
 
Kapigane Kam unaonda rais
umenichokoza sasa nina usongo kinoma na mzuka wa kukudunda wewe unaonaje tupange lini tukazipige kavu kavu Tanga beach mimi nawewe bila kuamuliwa nikuoneshe kuwa ndondi ni simple tu, au lete mzungu Smith , lete Pakiao , lete Mandonga wote wanakaa!!
Andaa pambano😁😁

Homeboy Mwakinyo kadundwa tunaona kwa TV sasa wewe unatakaje tumsifu kwa ujinga?
 
Tumechangia kiasi Gani kama Tanza-nia kumfikisha hapo alipo Leo? Tumempa support kiasi Gani? Tuache maneno ya dharau kwa Watu wanaotafuta maisha Yao wenyewe kwa nguvu zao wenyewe.

Tanza-nia ilishamfanyia figisu nyingi sana sana, tumuache kijana wa watu "If he fails if he succeed, is up to him, at least he lives on what he believe!"
Ulitaka tumbebe? Kuangalia pambano lake ni moja ya kumsapoti
 
Kwangu mimi HASSAN alipigwa fairly kabisa, hakuuza mechi na wala hakukuwa na makando kando yoyote. Shida kubwa ni Watizedi hatuna maturity kwenye michezo with descipline.

1. HASSAN alikuwa anapigana na hewa zaidi kuliko kumlenga muhusika, ngumi zake hazikuwa na madhara yoyote japo alitaka kulazimisha kuonekana ana madhara.
Katika ngumi tano anazorusha, nne zote zilikuwa ni hewa..... hakuwa na focus yoyote wala hakuwa na technic yoyote .... kifupi uwezo wa Hassan ni bado sana, sio kila kitu tuweke uzawa mbele , tunatakiwa kuwa wakweli.

2. Ngumi nyingi Yaani frequency alizokuwa anarusha mzungu zilikuwa zikimpata HASSAN tena usoni, only mzungu hakuwa na ngumi nzito , but he was tactically and alikuwaa anasubiri right moment kumaliza mchezo.

3 . HASSAN hakuwaa anafanya pressing yoyote; alikuwaa ana pressiwa and he was defending himself mpaka anafikishwa kwa kamba , anaanza kumsukuma mzungu, hiyo pressing ya Mzungu, technically ndiyo iliyoaanza kumletea shida Hassan na akapoteza balance, frequency za yeye kufikishwa kwa kamba zilikuwa nyingi ; ni raundi ya 3 kama sikosei ndio alifanya pressing kidogo and he breached the law , alimpiga Mzungu kichwani wakati kengele was on and mzungu was complaining, what the Fu**k you hell: utaona mzungu anatukana.

4. Kuhusu kiatu, Big no na hakuna uhusiano at all ; huyu jamaa sio professional at all, ni anaunga unga, i wonder kama management yake ili jadili hii reason ya kiatu na begi kabla ya kuja kwenye public , ni shame such a fighter to complain such a thing , Shame kwake na uongozi wake .

Hassan alikuwa anatumia nguvu sana kurusha ngumi , na ngumi zake nyingi zilikuwa zinaenda kwa air, with pressing alizokuwa anapewa mara kwa mara akapoteza balance na akawa anachoka sana , ALICHOKA SANA, the only way kuondokana na aibu ambayo ilitawaliwa na ego yake was to pretend something was wrong kwenye kiatu.ni mambo ya hovyo na utoto.

Kupigwa ni kawaida but do not deceive people; kama kawaida yetu watizedi ni watu wa excuses na mdomo mwingi.


5. Kama kweli Ishu ni kiatu( tuki assume), REFA alimuuliza mwanzo kabisa, je hiki kiatu ni tatizo? We can find alternative. Akajibu hapana , na hata menejimenti yake haikuonesha kama kuna shida, REFA akauliza.... can you proceed with this , he said Yes .....;

Sasa I wonder kama HASSAN anajua sheria kweli au akili zake nae ni kama mandonga, the moment anakuja kuonesha kuwa tatizo la kiatu limejirudia, kuna protocol alitakiwa kuzifuata, na sio kutema Mouth guide na kunyoosha hands up huku you kneel down .... that was very unprofessional na refa hakuwa na choice tena.

kiufupi alisalenda na hakuwa na pumzi... HASSAN alichoka mapema na hii ni kutokana na pressing ya mzungu huku yeye akitumia muda mwingi ku defend na kukwepa. Guys ni inachosha, msione mandonga akiguswa kichwa tu ni anakuwa kama mgonjwa wa kifafa. HASSAN amepigwa kwa kuzidiwa uwezo na maarifa. Hizo sababu zake za standard 7 failure, angezionesha pale kwenye ulingo, maneno yoyote nje ya ulingo ni umbea na unafiki.

Ushauri pekee ni HASSAN aendelee kujifunza , lakini asilete excuses , that is unprofessional and bad. Ni amepigwa kipigo cha akili, asilete mambo ya SSC, tulitawala mpira sana , lakini hatukushinda...... ni excuses za hovyo, mpira ni magoli na sio kutawala.... kinachokuvusha ni magoli na sio possessive.

SSC, mandonga na Mwakinyo wote hawa akili zao ni sawa, na ni aibu kuwa na jamii hii kwenye nchi.
Sasa Simba imeingiaje hapo?, Timu zote zinakuwa na excuses zinapofungwa au kutoa sare( Hilo la Simba la kutawala ball possession, na wakati siyo lengo la mpira wa miguu pia ni sababu za kutafuta huruma ya mashabiki).
Mfano: Yanga huwa wanakuwa na excuses za uwanja mara nyingi( uwanja uliku mbaya).
Swali la kujiuliza ni kuwa kwani mpinzani wake( aliyeshinda) alitumia uwanja tofauti?
Kwa upande wa Mwakinyo siwezi kuzungumzia sana. Ninachoweza kuelezea ni kuwa Mwakinyo alipigwa T.K.O. Mengine hayo ni subjective ( anajua Mwakinyo mwenyewe, hivyo siwezi kupinga au kukubali). Kwahiyo, kama kiatu kilikuwa kinamsababishia enka anayejua ni mvaa kiatu husika ( yeye ndiye anayejua kuwa anasema kweli au uwongo).
 
Hakuna bondia bora aliyewahi kupiga magoti.

Hakika. Amuangalie Muhammad Ali moja ya Pambano alipigwa kama sio balance na ukakamavu alikuwa adondoke. But ali hold kamba akawa ana kwepa ngumi

Sio kupiga goti, hands up , mouth guide out then utuambie kiatu

Ni mambo ya hovyo na pride
 
Unaeweza kuta kwenye bag kulikua na mambo yake ya tanga

Kuendekeza tamaduni kuna punguza confidence yani na sawa na mwanafunzi alieingia na nondo kwenye mtihani akipoteza nondo yake basi lazima atafeli tu ila kazingua ni bora angekaa kimya kazi aliyochagua kupigwa kupo tu

Na wewe mtoa uzi apo simba kafata nini..
 
Tumechangia kiasi Gani kama Tanza-nia kumfikisha hapo alipo Leo? Tumempa support kiasi Gani? Tuache maneno ya dharau kwa Watu wanaotafuta maisha Yao wenyewe kwa nguvu zao wenyewe.

Tanza-nia ilishamfanyia figisu nyingi sana sana, tumuache kijana wa watu "If he fails if he succeed, is up to him, at least he lives on what he believe!"
Kosa la mtoa uzi ni lipi?
Huoni amemuhimiza kuwa azidi kukazana na kukomaa ili aendelee kutoboa?
Shida yetu wabongo tunapenda kulambana nyayo sana.

Akipigwa aambiwe madhaifu yake arekebishe sio eti tumuache ndio inakuwaje sasa akiachwa?
 
Kama hatukumchangia why aje kwenye public kutupa huruma na maneno yake. Kama we don’t matter si angepotezea baada ya kipigo afanye yake. Tumia akili yako vyema
Kawaelezea watanzania waomata yaani mashabiki wake halisi. Sio wewe hater na wengineo wenye uelekeo kama wako.
 
Mwakinyo kamfikisi muhindi maana watu walikuwa na uhakika na wanachobet
 
Mwakinyo hakuaga vizuri nyumbani,au inteleligence yake ili fail(au haikuepo kabisa), any coincidence happening at at mass gatherer,na hapo wewe ukawa ndio muusika mkuu kwenye hiyo hadhara,is related to spiritual or planned,
 
Hakika. Amuangalie Muhammad Ali moja ya Pambano alipigwa kama sio balance na ukakamavu alikuwa adondoke. But ali hold kamba akawa ana kwepa ngumi

Sio kupiga goti, hands up , mouth guide out then utuambie kiatu

Ni mambo ya hovyo na pride
Kwanini asingewaambia trainers wake wafungue kamba za kiatu ili refa asimamishe pambano? Mwakinyo alizidiwa kiukweli... Alikuwa anarusha ngumi nyingi zisizo na impact kabisa.... Alianza kukata pumzi raundi ya pili tu. Mengine ni hadithi tu anatusimulia
 
Haya mambo ya kuuza na kununua mechi ni mabaya sana, kwa kweli simba ilaumiwe sana kwenye hili wao ndiyo walio uleta huu upunzi na sasa umeenda adi kwa akina mwakinyo
 
Back
Top Bottom