fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Hahahaha mshtue kaka, kitu kimetiki kule haha[emoji23] [emoji23]Ngoja nimfate Kariakoo nikamwambie kuwa ajiandae akachukue tuzo yake naijeria maana mpaka mida namuacha maskani alikuwa anacheza keramu hana hata habari