Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
Waje nimejipanga vzr na timu yangu ya [HASHTAG]#WATU8[/HASHTAG]Wakikusikia Team yake watakufukia na mapovu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waje nimejipanga vzr na timu yangu ya [HASHTAG]#WATU8[/HASHTAG]Wakikusikia Team yake watakufukia na mapovu
Mbwana Samatta,Dudubaya,Mrisho Ngasa na JbAlikuwa Anashindanishwa na Nani tuanzie hapo
si kweli.Kinachokuuma ni kukosa pa kusemea neno la 'alikiba anapita mule mule alipopita diamond'.[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] tuzo kubwa nigeria kwa kipi unazijua tuzo kubwa nigeria tuzo ni za kituo cha tv cha soundcity na zimenza kutolewa mwaka huu sasa cjui kuanzia lini zimeanza kuwa kubwa
Chibu ka fail inabidi aendele kuwadanganya tu kuwa ameimba na jay zMeneja wa kiba ameshafanya kazi sounf city kwahiyo ni bakishishi lakini haitawasadia jipeni moyo kwa muda mfupi 2017 mtaona moto chibu kwenye kazi
Acha uongo watu tunazungumzia sound city MVP wewe umekuja na watsuptv award acha kupanic relaxmkuu mbona unazungumzia upande mmoja kama sio mtanzania.. KWENYE HIZI TUZO DIAMOND KACHUKUA TUZO TATU NA ALLY KIBA KACHUKUA TUZO MBILI NA NAVY KENZO WAMECHUKUA TUZO MOJA..
Ni kosa kubwa Mwana Jf kuongea usichokijua .sound city MVP award mtanzania mmoja kachukua naye ni king kiba hizo unazosema ni watsup award za GhanaSafi sana
Kumbe daimond kaambulia patupu msimu uliopitaNi kosa kubwa Mwana Jf kuongea usichokijua .sound city MVP award mtanzania mmoja kachukua naye ni king kiba hizo unazosema ni watsup award za Ghana