Kiba abeba tuzo ya video bora soundcity Nigeria

mkuu mbona unazungumzia upande mmoja kama sio mtanzania.. KWENYE HIZI TUZO DIAMOND KACHUKUA TUZO TATU NA ALLY KIBA KACHUKUA TUZO MBILI NA NAVY KENZO WAMECHUKUA TUZO MOJA..
Unaongelea Watsup Tv Awards hapa tunaongelea Soundcity Tv
 
ushauri wangu, sikiliza kidogo electronic kama hujawahi maana wabongo wengi hawaijui aina hiyo ya mziki, enjoy
Nimekuelewa mkuu mie ule wimbo naupenda kwa kuwa tuu ninamshabikia Ally na napenda aimbavyo kilichonitia uvivu ni uchache wa mashairi yaani ghafla wimbo umeisha..
 
Si lazima nyimbo zote zipendwazo nawe uone uzuri/utamu wake mie nyimbo kama Hakunaga wa Suma Lee na Mikasi wa Marehemu Ngwair sikuwahi kuona utamu wake katu hivyo hiyo ni kawaida mkuu.
Ni sawa na muziki ya darasa bado sijaona utamu wake
 
Ngoja nimfate Kariakoo nikamwambie kuwa ajiandae akachukue tuzo yake naijeria maana mpaka mida namuacha maskani alikuwa anacheza keramu hana hata habari
Aiseee keramu tena, kaka STUNTER wanakuona wanakuona unakula tu ukwaju
 
mmeshazitoa Benki?
Kuna zile walilipia mlangoni, alafu ukiskia tunahesabu usifikiri tumejaza minoti yote mezani, no!! Tunahesabu zilizopo account na ticket zilizouzwa kama kuna uwiano,
 
Mond ni self made jina lake linatajka bila kutegemea chochote, na kiba is affiliated huwezi kumuongelea kiba bila kumtaja mond bin laden!
Hii thread ya Ali ghafla we umekuja na habari za Dimond.

Sasa sijui hapo nani anamtegemea mwenzie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…