Nyie ndio wachonganishiSafi ni muda wa Mondi kumtoa Ali Kiba naye ajulikane kimataifa sasa
Ahahaaaaah...Laiti kama ningekujibu nilichotaka kukujibu basi ban ingenihusu.
Ila kaa ukijua wewe ni mpuuzi,yafaa kupuuzwa.
Period
HahahaNyie ndio wachonganishi
Ahahahahaaaaaa noma sana mkuuHahaha
Wala nilichokoza mada tuu
Ila i meant it
Watoane wapelekane wapi????Sio mondi kumtoa kiba eb weken uteam pembeni kila mtu anajua apo labda watoane
Watu mn manenoSafi ni muda wa Mondi kumtoa Ali Kiba naye ajulikane kimataifa sasa
Ukisema kuwa domo na kiba ni sawa na wizkd na davido utakuwa umempendelea sana kiba....Yaleyale ya davido na wizkid
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Watu mn maneno
Kweli mkuu halaf Hawa timu domo ndo wametoa povu Sana maana wanapenda bifu kuliko hata huyo domo wao,Sio kelele bali kusema diamond anataka kumtoa kiba mda huu ukimanisha kwamba kiba bado ni underground?? hahah mpunguze munkari waachen wafanye hio colabo kila mtu ana heshima yake na kwa nafasi yake kimuziki.
Aah kwendreee zenu kumuhusudu huyo domo Kama Mungu wenu mfyuuuNimesema amtoe kimataifa, kwa kuwa kolabo yao ikifanyika itamtangaza zaidi Kiba kuliko Domo, Domo asha imba na AKA,na P-Square sasa kuimba na Kiba kuta mpeleka wapi!!?
Nimeongea ukweli ila nilijua kuna watu uta waumiza.
*Kiba si msanii mbaya ila Kiba pia bado hajatoboa kama alivo toboa Domo.
Ukweli mchungu ila ndio tu ukubali
Hamna mi nimesema ukweli tuMnaboa timu domooo kumtukuza huyo kimdomo wenu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ni muda mzuri umefika diamond kumboost Ali kiba kimataifa
Hapo mondo anajitafutia uchuro tu na yeye atarudi mchangani oohooo[emoji134]