Kibabage ananikumbusha timu yetu ya darasa Chuo.

Kibabage ananikumbusha timu yetu ya darasa Chuo.

Umtama Mula

Senior Member
Joined
Jan 11, 2021
Posts
171
Reaction score
496
Nakumbuka timu yetu ya darasa miaka hiyo tukiwa Chuo, Ile timu tulikuwa na wachezaji 10. Hatukuwa na Subs, Ili tutimie 11 kwa mjibu wa utaratibu, ilikuwa tunalazimika kumuweka mtu Ili tu kutimiza idadi ya wachezaji.
Inashangaza timu kama yanga wanafanya kile tulichokuwa tunafanya, Kibabage anawekwa Ili kujaza namba Yanga watimie 11. Sijui wanakutwa na tatizo kama letu kipindi hicho au Kuna shida gani.
Lakini hii ni karibia mechi ya sita yanga wanacheza wakiwa10, na mtu mmoja anayekamilisha idadi kikanuni. Kibabage.
 
Nakumbuka timu yetu ya dara miaka hiyo tukiwa Chuo, Ile timu tulikuwa na wachezaji kumi. Hatukuwa na Subs, Ili tutimie kumi na Moja kwa mjibu wautaratibu.Tulikuwa tunalazimika kumuweka mtu Ili tu kutimiz idadi ya wachezaji. Inashangaza timu kama yanga wanafanyia kile rulichokuwa tunafanyia, Kibabage anawekwa Ili kujaza namba Yanga watimie 11. Sijui wanakutwa na tatizo kama letu kipindi hicho au Kuna shida gani. Lakini hii ni karibia mechi ya sita yanga wanacheza wakiwa10, na mtu mmoja anayekamilisha idadi kikanuni. Kibabage.
Mwache dogo apate salary kama unaweza nenda wewe
 
Naona dogo mnamsagia kunguni hatare! Ilhali timu nzima inafanya makosa
Nakumbuka timu yetu ya darasa miaka hiyo tukiwa Chuo, Ile timu tulikuwa na wachezaji 10. Hatukuwa na Subs, Ili tutimie 11 kwa mjibu wa utaratibu, ilikuwa tunalazimika kumuweka mtu Ili tu kutimiza idadi ya wachezaji.
Inashangaza timu kama yanga wanafanya kile tulichokuwa tunafanya, Kibabage anawekwa Ili kujaza namba Yanga watimie 11. Sijui wanakutwa na tatizo kama letu kipindi hicho au Kuna shida gani.
Lakini hii ni karibia mechi ya sita yanga wanacheza wakiwa10, na mtu mmoja anayekamilisha idadi kikanuni. Kibabage.
 
Aisee inashangaza sana timu kubwa kama Yanga kutokuliona hilo, timu ina benchi la ufundi wenye wataalamu kibao plus Football analyst, then inashindwa kugundua kama beki namba 3 inavuja, mechi karibia 5 mfululizo magoli yanatokea hukohuko
 
Naona dogo mnamsagia kunguni hatare! Ilhali timu nzima inafanya makosa
Aisee dogo ni shidda, dogo anafanya timu inakosa balance, mara nyingi Bacca analazimika kushuka kushoto ku cover nafasi yake pale dogo yupo mbele anazurura na mpira upokonywe ghafla kitu ambacho ufanya mstari wa mwisho kuvurugika.
 
Aisee dogo ni shidda, dogo anafanya timu inakosa balance, mara nyingi Bacca analazimika kushuka kushoto ku cover nafasi yake pale dogo yupo mbele anazurura na mpira upokonywe ghafla kitu ambacho ufanya mstari wa mwisho kuvurugika.
Dogo akipewa mpira lazima uharibikie kwake, akijitahidi ataurudisha ulikotoka. Lakini hakuna kitu hata kimoja cha ki football anafanya uwanjani ambachi kinaunganikana na wenzake. Kiufupi yanga wamecheza mechi karibia sita wakiwa 10 na mtu mmoja anayekamilisha idadi.
 
No wonder hata kiwango cha Max or Midfielders kukosa balance ni kutokana na upande wa beki wa kushoto kua ovyoo, sometimes ufanya midfielders or Max mwenyewe kurudi ku cover nafasi ya Dogo.

Kanakimbilia mbele mno sehemu za Kina Maxi or attacking midfielders na kuacha nafasi yake wazi

Sijui viongozi hawalioni ili, maana dogo ata akienda mbele hakuna anachofanyaa, sizani kama kapiga cross atamoja mechi izi mbili zilizopita.

Viongozi wa Yanga you have to do something on this.
 
Mechi ya Jana ile Dk ya 2 bila busara za lefa TP Mazembe walikua wanapata bao la mapema.

Maana Bacca kapewa pasi, upande wa kushoto option ya kutoa pasi ikawa haipo maana dogo alikua kashapanda mbele, Bacca akabaki na kigugumizi apeleke wapi mpira, Akapokonywa kilichosaidia ni alionekana kadongoka refa akafanya busara kuita faulo.
 
Wengi hawajui mpira mkuu ni kuwasoma tu mpira uliotengwa chini nao ni kosa la upande wa beki ya kushoto..
Kupanda panda kwakwe ovyo, husababisha nafasi yake kuwa exposed wengine wakienda ku cover nafasi yake upelekea either kufanya makosa ambayo uleta izo set pieces.
 
Kwa jicho la tatu, Baka ndo mchomeshaji, kiwango kimeshuka sana
 
Wengi hawajui mpira mkuu ni kuwasoma tu mpira uliotengwa chini nao ni kosa la upande wa beki ya kushoto..
Yani inashangaza mitandaoni eti Kibabage ndio anafungisha magoli. Baka amebaki mtu wa mwisho anapigwa chenga ya kitoto alafu anaenda kubebeshwa lawama kibabage. Mfano goli la jana mtu karuka free anaenda kulaumiwa kibabage kwa sababu cross imepigwa upande anaocheza.
 
Back
Top Bottom