Umtama Mula
Senior Member
- Jan 11, 2021
- 171
- 496
- Thread starter
- #41
Yaani inashangaza, kama Boka mgonjwa Bora acheze Kibwana, kwa sababu hata kama hapandi kushambulia atakupa uhakika wa kukaba, au Faridi Musa, ambaye hata kama hakabi lakini atakupa uhakika wa kushambulia. Huyu dogo hakabi, hachezi, na wala hashambulii. Kwa ufupi akiwa uwanjani ni kama yanga wako 10. Pasi pekee anayopiga kwa uhakika ni ya kuurudisha mpira nyumaKibabage anapatwa na kigugumizi akiwa na mpira yaani anakuwa kama kapokea moto mguuni
Anaweka tu kati ana analenga miguu ya mabeki
Hawezi kupiga Cross za juu kabisa .
Nadhani anapaswa atulie mbona zamani alikuwa anacheza vizuri?