Kibaha: Mwanafunzi atoroka nyumbani tangu August 18,2023. Inadaiwa kaenda kwa mpenzi wake

Kibaha: Mwanafunzi atoroka nyumbani tangu August 18,2023. Inadaiwa kaenda kwa mpenzi wake

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Mwanafunzi wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Sunshine iliyopo Kibaha Mkoani Pwani, Sada Kabaju (17) ametoroka nyumbani tangu August 18,2023

@AyoTV_ imefika Kibaha nyumbani kwa Zaiba Kinyowa (58) ambaye ni Mama Mzazi wa Sada na kuongea nae ambapo amesema Sada alirejea nyumbani baada ya kuugua akiwa Shuleni ambapo Aug 14,2023 alihamisha Tsh. Laki 1 kutoka kwenye simu ya Mama yake kwenda laini yake bila Mama yake kugundua na pia Aug 15,2023 alihamisha tena Tsh. laki 1 ambayo Mama yake aligundua na akaizuia.

“Baada ya kumuuliza mwanzoni alikataa lakini Kaka yake alipomchapa akakiri kweli alichukua, baadaye akaondoka nyumbani na mpaka leo hatujui yupo wapi, tumetoa taarifa Polisi, tumemsaka ni mwezi sasa hajarudi, Rafiki yake Adelina anasema alipotoka hapa nyumbani alienda kwao na akamuambia anaenda kwa Boyfriend wake.

Nawaomba Watanzania mnisaidie nimpate Mwanangu, na Mwanangu popote alipo kama ananisikia naomba arudi nyumbani, kuhusu pesa nimemsamehe.

Namba zangu ni 0713547825”


USHAURI WANGU KWA MAMA SADA: USIMTAFUTE SADA. AKIRUDI ATAKUPANDA KICHWANI MARA KUMI. MUACHE DUNIA IMFUNDISHE. ATARUDI MWENYEWE..
 
Hafu dogo sio haba kichwani. Itakua foolish age tu inamzingua.

Tokeo la Form 2

1000123215.png
 
Yuko kwa mshikaji anachezea mshedede.

Serikali inatakiwa ifanye jambo kwenye sheria na mtaala wa masomo. Iandae mtaala ambao utaendana na uhalisia.

1. Ifute kidato cha tano na sita.
2. Ifute darasa la saba
3. Mtoto aanze darasa la kwanza na miaka minne na amalize form four na miaka kumi na nne. .
4. Miaka kumi na tano eidha aende chuo kikuu, au chuo cha ufundi au aolewe au kuoa.
5. Umri wa kuoa na kuolewa uwe kuanzia miaka kumi na tano.

For my opinion, miaka kumi na saba sio mtoto, ni mtu mzima kabisa. Mimi miaka kumi na saba nilikuwa form four na nina mtoto.


Sada ni mtu mzima, sio mtoto.
 
maombi ya kuhimili hi mikiki mikiki ya watoto, not him to be a housegal or houseboy

You dont need to pray for that, Mungu alipo kuumba alikuumba ukiwa umekamilika kabisa mkuu., Kwa kutumia akili yako unaweza kumdhibiti mtoto wako vizuri sana. ( Usije sema " kwa akili zetu hatutoweza") kwa sababu ukweli ni kwamba akili tulizo nazo sio za kwetu ni za Mungu.

If you actually want to go down to that level basi muombe Mungu akupe ujasiri wa kupokea habari mbaya kuhusu watoto wako.
 
...nakumbuk nilipotez cowz wa mzee nikasepa mwez mzima... Mzee alikua fire ya gas... But nilivokua nikaja kujua sio tabia nzur kutoroka asee... Pale anaeumia sana n mama stakuja kusahau... Na hapo ndio nilamini waganga waongo... Eti aliwambia nimeungwa freemason [emoji23]
 
Serikali inatakiwa ifanye jambo kwenye sheria na mtaala wa masomo. Iandae mtaala ambao utaendana na uhalisia.

1. Ifute kidato cha tano na sita.
2. Ifute darasa la saba
3. Mtoto aanze darasa la kwanza na miaka minne na amalize form four na miaka kumi na nne. .
4. Miaka kumi na tano eidha aende chuo kikuu, au chuo cha ufundi au aolewe au kuoa.
5. Umri wa kuoa na kuolewa uwe kuanzia miaka kumi na tano.

For my opinion, miaka kumi na saba sio mtoto, ni mtu mzima kabisa. Mimi miaka kumi na saba nilikuwa form four na nina mtoto.


Sada ni mtu mzima, sio mtoto.
Aisee. Unataka kutatua tatizo kwa kuhamisha goli? Haya mambo tunatakiwa tuyaangalie nje ya box na siyo kutoa solution za zimamoto ambazo zitazidisha matatizo. Tatizo letu linaanzia kwenye uongozi mbovu wa nchi uliosababisha wananchi kuishi maisha ya kubahatisha, na hatimae kutoa malezi ya kubahatisha kwa watoto. Mnajua pengine mtu huwezi kuona uhusiano wa moja kwa moja kati ya uongozi mbovu na vurugu za maisha mitaani lakini nchi yenye uongozi wa kubahatisha kama Tanzania huwezi kukwepa vuluvulu kama hizi. Na bado...... huu ni mwanzo tu.
 
Back
Top Bottom