Hivi!!! jiwe aliwakamulia nini kwenye akili zenu???? jamani!! jitu lile jeusi tii!! roho mbaya, ropokaji, jeuri, uaji hovyo, lafi la hela na madaraka!! upendeleo! Dunia ililikataa kitambo hakuna kutembea huko nje wajameni
bado mtu km weye unalili lia humu!! jua kuwa watu hawamchukii jiwe ila matendo yake ya uuaji! ndo waliyachukia .....eti ana mchukia kweli mfu?? lile jamaa lilikuwa ni la kuonea huruma tu!! kwa sababu sisi tuli jua lita kufa!! Mtawala dhalimu hadumu kamwe!!
tulili shauri liache dhuruma!! mbona lina hele nyingi tuu!! badala ya kubadirika likaongeza ulinzi wa ma elikopita! mweee!! ndo kabisaa!! likaanza kupiga nyungu!