Wewe hata tofauti ya ukweli na tuhuma hujui, we kila kitu kibaya kuelekezwa kwa Jiwe we unahesabu ndio ukweli kisa tu unamchukia.Unadhani hatuuoni ukweli anaouzungumza Zitto kuhusu yule dhalimu?
Lissu alijaribu kueleza mabaya ya Nyerere akaonekana kama anakufuru vile yani mabaya ya Nyerere hayapaswi kuelezwa ila watu hao hao ndio wanamsema Magufuli.Wewe ndio unaeumia kwa kukumbuka nakuumizwa na maovu yake kwa chuki na upumbavu wako.
Ukimsema hasikii wala hakujibu
Pili wewe sio Mungu sio yesu au malaika wa adhabu useme eti unaona au unamuadhibu..
Sana sana unapata dhambi za masimango masengenyo na kusema marehemu. Bora hata wezi maana wanapata d
Shida ni utoto na uelewa.
Tuna viongozi waliofanya maovu mengi sana nchini, wenye madhambi kuliko magufuli lakini tulikaa kimya walipofariki na leo taifa linawaimba na kuwatukuza sana.
1. Julius Kambarage Nyerere
2. Abeus Aman Karume
Asa yule Jiwe alikuwa hana akili nzuri...lkn zito ana akili timamu, zito siyo kichaa!...jiwe alikuwa kichaa aliye kamata Rungu usijaribu pita mbele yake!..... kumsema/ kumtania kichaa!! wakt unaona rungu!! heee! wataka kupigwa rungu maksudi, Lisu yuko wapi?Afadhali ya zito Kibajaji anaogopa mpaka marehemu. Nani mwoga zaidi kati ya anayeongopa aliye hai na anayeogopa marehemu
Unaongea na mimi au na nani?Je ulifanikiwa au umeshindwa??? Na bado Zitto anayo nafasi ya kuja kuwa Rais na ukampigia magoti.
Hivi!!! jiwe aliwakamulia nini kwenye akili zenu???? jamani!! jitu lile jeusi tii!! roho mbaya, ropokaji, jeuri, uaji hovyo, lafi la hela na madaraka!! upendeleo! Dunia ililikataa kitambo hakuna kutembea huko nje wajameniwe kila kitu kibaya kuelekezwa kwa Jiwe we unahesabu ndio ukweli kisa tu unamchukia.
Zitto angekuwa na akili basi Chadema wasingemtimua wangeendelea kufaidi matunda ya akili za Zitto.Asa yule Jiwe alikuwa hana akili nzuri...lkn zito ana akili timamu, zito siyo kichaa!...jiwe alikuwa kichaa aliye kamata Rungu usijaribu pita mbele yake!..... kumsema/ kumtania kichaa!! wakt unaona rungu!! heee! wataka kupigwa rungu maksudi, Lisu yuko wapi?
Zito ana akili timamu! hata nyie mliokuwa nae mlikuwa hamna amani myoni mwenu, mpaka leo! mda wowote kinanuka!! jiwe alikuwa hana rafiki wa kudumu zaidi ya Bashite!! sasa kwa kuwa Bashite ana akili timamu alimkimbia kijanja kwa kujifanya anagombea ubungo!
kibajaji manake kafupi siyo?? basi na akili pia hivoivo!! msione ajabu vimtu vifupi ndo vilivyo!
Ndo ivo!! safi sana walifanya!! hata kule kuna wajinga unadhani wao ni Malaika Mkuu!,,tena ndo vizuri! mazezetawamekaa!Zitto angekuwa na akili basi Chadema wasingemtimua wangeendelea kufaidi matunda ya akili za Zitto.
Tulipaswa kubaki na msimamo huo tusimuige yule kiropo asiye na staha ya maneno.Lissu alijaribu kueleza mabaya ya Nyerere akaonekana kama anakufuru vile yani mabaya ya Nyerere hayapaswi kuelezwa ila watu hao hao ndio wanamsema Magufuli.
Ukitaka kujua kwamba mnamchukia na si kwamba mnamkosoa hebu muone Zitto(aliyefukuzwa chadema kwa usaliti) sasa hivi hakosoi utawala uliyopo ila yeye kamshikilia maiti tu hadi anasema wanaompenda wakazikwe nae ila yeye marehemu mama yake watu walivyokuwa wanaeleza ubaya wake wa uchawi wake yeye Zitto alimwaga chozi anasikia uchungu mama yake kuambiwa ukweli kwamba alikuwa anaroga watu.Hivi!!! jiwe aliwakamulia nini kwenye akili zenu???? jamani!! jitu lile jeusi tii!! roho mbaya, ropokaji, jeuri, uaji hovyo, lafi la hela na madaraka!! upendeleo! Dunia ililikataa kitambo hakuna kutembea huko nje wajameni
bado mtu km weye unalili lia humu!! jua kuwa watu hawamchukii jiwe ila matendo yake ya uuaji! ndo waliyachukia .....eti ana mchukia kweli mfu?? lile jamaa lilikuwa ni la kuonea huruma tu!! kwa sababu sisi tuli jua lita kufa!! Mtawala dhalimu hadumu kamwe!!
tulili shauri liache dhuruma!! mbona lina hele nyingi tuu!! badala ya kubadirika likaongeza ulinzi wa ma elikopita! mweee!! ndo kabisaa!! likaanza kupiga nyungu!
Wewe hata tofauti ya ukweli na tuhuma hujui, we kila kitu kibaya kuelekezwa kwa Jiwe we unahesabu ndio ukweli kisa tu unamchukia.
Tusifikiri kumsema vibaya Magufuli kutasaidia kitu, hayupo na hawezi kujibu kitu, kama una tatizo naye maliza utakuja kukutana naye kwa Mungu.
Mtu akishatangulia kitabu chake kinafungwa, tunamuachia Mungu kuja kutoa hukumu.
Ukitaka kujua kwamba mnamchukia na si kwamba mnamkosoa hebu muone Zitto(aliyefukuzwa chadema kwa usaliti) sasa hivi hakosoi utawala uliyopo ila yeye kamshikilia maiti tu hadi anasema wanaompenda wakazikwe nae ila yeye marehemu mama yake watu walivyokuwa wanaeleza ubaya wake wa uchawi wake yeye Zitto alimwaga chozi anasikia uchungu mama yake kuambiwa ukweli kwamba alikuwa anaroga watu.
Ndio haujafanyika huo uchunguzi kwahiyo wewe toa tu tuhuma ila uchunguzi ndio utaweka wazi ukweli upi na porojo zipi.Wakiruhusu uchunguzi ndani ya masaa 24 ushahidi utakuwa hadharani.
Ndio haujafanyika huo uchunguzi kwahiyo wewe toa tu tuhuma ila uchunguzi ndio utaweka wazi ukweli upi na porojo zipi.
Kwani mada ina muhusu nani hasa hapa si huyo Zitto na vita yake na maiti au?Unadhani ukimtaja Zito na kukumbishia kufukuzwa kwake cdm ndio kutakupa backup ya hoja zako?
Kwani mada ina muhusu nani hasa hapa si huyo Zitto na vita yake na maiti au?
Tukiataka kuzungumza ya Maalim Seif hapa tutakimbiana. Zitto asitake tufukue makaburi.
Zito labda atasema Kibajaji hana shule ila ana upeo mkubwa wa kuona mbele kuliko Zitto. Maneo aliyosema Zitto bungeni kuhusu JPM ni aibu!!! Kuanzia Leo Zitto nakuamuru "ushindwe kwa jina la Yesu"
Sent using Jamii Forums mobile app
Lisu alijaribu akaishia kupigwa Lisasi,Mbowe alibaki kuigiza ukosoaji akatenguliwa mguu,akaporwa bilicans etc akaufya na asingekuwa Samia Mbowe angefia jela.