mkamanga original
JF-Expert Member
- Jan 21, 2015
- 637
- 663
Haache ujinga, ndio maana tunamsema kwa sababu hawezi kutufanya lolote ,angekuwa hai tungemsemaje ili atunyonge? Asitufunge midomo. Atuache na woga wetu. Yeye hakujua kama kunaa kufa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zitto ni mpuuzi tu elewa hiloZitto kamteka nani?
KunguruHaache ujinga, ndio maana tunamsema kwa sababu hawezi kutufanya lolote ,angekuwa hai tungemsemaje ili atunyonge? Asitufunge midomo. Atuache na woga wetu. Yeye hakujua kama kunaa kufa
Huyo shetani wako yupo kuzimu na kamwe hawezi kwenda kwa Mungu!Tusifikiri kumsema vibaya Magufuli kutasaidia kitu, hayupo na hawezi kujibu kitu, kama una tatizo naye maliza utakuja kukutana naye kwa Mungu.
Mtu akishatangulia kitabu chake kinafungwa, tunamuachia Mungu kuja kutoa hukumu.
Wewe sio Mungu na hakuna binadamu anayejuwa hukumu ya mwezie.Je? Wewe utakuwa wapi? Baada ya kifo chako yaani unaongea as if utaishi mileleHuyo shetani wako yupo kuzimu na kamwe hawezi kwenda kwa Mungu!
Hayo ni mawazo yako kama ya mtu mwingine yeyote, and you are not an authority to say so.Zitto ni mpuuzi tu elewa hilo
As vile na wewe huna authority ya kumtukana Magufuli sababu hakuwa na falsafa unazopenda weweHayo ni mawazo yako kama ya mtu mwingine yeyote, and you are not an authority to say so.
Magufuli alikuwa na falsafa?As vile na wewe huna authority ya kumtukana Magufuli sababu hakuwa na falsafa unazopenda wewe
Nini sawasawa?Sawa sawa
Nini sawasawa?
Huna sababu ya kuelewa hilo mzee we endelea kumsifia huyo kibaraka wa mabeberu na mwizi wa kisiasaMagufuli alikuwa na falsafa?
Ya utekaji, ubambikaji kesi, ukwapuaji, roho mbaya,ukabila, ubaguzi, call that falsafa?
And you subscribe to that?
Huo sio ukweli bali ni tuhuma kwa asiyeweza kujitetea na kama ni hasira basi ni bora uende kaburini kwake ukamseme na kumtukana unavyotaka hadi hasira ziishe.Sio kila mtu ni jasiri kama Lisu, hawa wengine walingoja atoke madarakani wateme nyongo. Kwa bahati mbaya kafia madarakani. Hivyo kwakuwa hakuwa mstaarabu acha ukweli wake apewe akiww huko huko motoni.
Zitto ndio alimwambia Magufuli(akiwa hai) kuwa ni rais mshaba, ila Zitto hakuguswa, sasa nani alimzuia asiongee?Haache ujinga, ndio maana tunamsema kwa sababu hawezi kutufanya lolote ,angekuwa hai tungemsemaje ili atunyonge? Asitufunge midomo. Atuache na woga wetu. Yeye hakujua kama kunaa kufa
Inawezekana kabisa katika watu wenye chuki na Jiwe ikawa miongoni mwao ni hao waliyobakwa.Magufuli alikuwa na falsafa?
Ya utekaji, ubambikaji kesi, ukwapuaji, roho mbaya,ukabila, ubaguzi, call that falsafa?
And you subscribe to that?
Na hitler nae utamwita nani ambaye ni zaidi ya shetani?Magufuri alikuwa shetani kabisa
Kikwete alimwaga damu ila bado anadunda. Tuondolee imani zako za ajabu ajabu.Mwenda kuzimu amelaaniwa yeye na kizazi chake.
Damu alizomwaga zinamwandama huko aliko amekosa hata kuwa kiongozi wa malaika.