Kibajaji amvaa vikali Zitto Kabwe kumsema Magufuli, amuita muoga kwani wakati yupo hakusema?

Kibajaji amvaa vikali Zitto Kabwe kumsema Magufuli, amuita muoga kwani wakati yupo hakusema?

Haki ni asili ya Samia,ile ilikuwa kesi ya mchongo ya sukuma gang usijifanye huelewi.
Nimekuuliza alipoulizwa huyo Samia kuhusu kesi ya Mbowe alijibu nini?

Mtu mwenye asili ya haki hasubiri mashinikizo ili ndio atende haki, angetenda haki kama alivyowatoa wale wazanzibari wenzie bila kushinikizwa.
 
Huo sio ukweli bali ni tuhuma kwa asiyeweza kujitetea na kama ni hasira basi ni bora uende kaburini kwake ukamseme na kumtukana unavyotaka hadi hasira ziishe.

Zitto sasa hivi hamkosoi rais aliyepo, je ndio anamsubiri hadi asitahafu au haoni kasoro kwenye utawala wa Samia?

Kasoro kwenye utawala wa Samia ziweke ww, yeye kaamua kuweka za Magufuli, ni jambo ka kugawana majukumu tu.
 
Leo bungeni mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde amemvaa vikali kiongozi mkuu wa ACT, Zitto Kabwe kwa kumsema Hayati Magufuli. Kibajaji amemuita Zitto muoga kupitiliza kwani wakati Magufuli yupo hai hakusema mpaka ameondoka.

Pia Kibajaji amesema wote wanaomsema Magufuli ni wanafki na hata Samia akiondoka nae watamsema vilvile. Amemsifu Nyalandu kwa kusema kwa vitendo hawezi kufanya kazi na Magufuli wakati yupo hai na kuachia nafasi yake ya ubunge.

========

Kibajaji: Nchi yetu imeweka vizuri sana masuala ya utawala bora kisheria lakini kuna baadhi ya vyama kwa mfano pale Zanzibar, ACT tunashirikiana nacho kwenye utawala bora, sisi tuna Rais, tuna Serikali wao wana makamu wa kwanza wa Rais lakini mmesikia kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo, Zitto anamnanga mheshimiwa Magufuli kana kwamba Zitto hashiriki kwenye Serikali.

Magufuli aheshimiwe, Zitto aelewe kwamba suala la kufiwa ni suala kubwa. Haiwezekani kwenye utawala bora tuache suala la Magufuli kuzungumzwa vibaya na mimi sitaacha.

Leo nnapoongea Waislamu mmefunga, dini inawakataza kuwasema vibaya marehemu, Zitto ni muislamu anajua.

Mheshimiwa Zitto anatutaka tunaompenda mheshimiwa Magufuli tukazikwe nae. Zitto amewahi kufiwa na mama yake, mimi sitaki kufika huko, mama wa Zitto ni mama yangu mimi. Mimi nimewahi kufiwa na baba yangu lakini ACT wamewahi kufika na makamu wa kwanza wa Rais, Zitto anatulazimisha sisi tuanze kumsema vibaya Maalim Seif, hatuwezi.

Inakuwaje watu mnakuwa waoga, viongozi wakiwepo hamsemi wakiondoka ndio mnasema, huu ni uoga uliopitiliza. Mtu mmoja tu alisema kwa vitendo kwamba yeye hawezi kufanya kazi na Magufuli, Nyalandu.

Aliachia ubunge akaondoka lakini watu tuliobaki hapa ni watu wa Magufuli na tumefanya nae kazi na tulikuwa tunamsifu.

Hawa watu ambao sasa wanamsema Magufuli na kumsema Samia na wanafiki wakubwa, Samia akiondoka watamsema vibaya hivyohivyo, ni bora mimi Lusinde ambae niko wazi na siwezi kuacha.

Pia, soma=> Zitto: Wanaompenda Magufuli wakazikwe naye Chato, alikuwa Rais fisadi zaidi kuwahi kutokea Tanzania
Ametumia fasihi hapa kumfikishia mtu mmoja ujumbe
 
Zitto kabwe kakosea sana hajatumia lugha ya kistaarabu kumkosoa marehemu magufuli aombe radhi ,akumbuke jinsi alivyolia bungeni kipindi mama yake alivyosemwa akiwa kashafariki
Kibajaji nae ilibidi Alie Basi nyongeza msisitizo
 
Leo bungeni mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde amemvaa vikali kiongozi mkuu wa ACT, Zitto Kabwe kwa kumsema Hayati Magufuli. Kibajaji amemuita Zitto muoga kupitiliza kwani wakati Magufuli yupo hai hakusema mpaka ameondoka.

Pia Kibajaji amesema wote wanaomsema Magufuli ni wanafki na hata Samia akiondoka nae watamsema vilvile. Amemsifu Nyalandu kwa kusema kwa vitendo hawezi kufanya kazi na Magufuli wakati yupo hai na kuachia nafasi yake ya ubunge.

========

Kibajaji: Nchi yetu imeweka vizuri sana masuala ya utawala bora kisheria lakini kuna baadhi ya vyama kwa mfano pale Zanzibar, ACT tunashirikiana nacho kwenye utawala bora, sisi tuna Rais, tuna Serikali wao wana makamu wa kwanza wa Rais lakini mmesikia kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo, Zitto anamnanga mheshimiwa Magufuli kana kwamba Zitto hashiriki kwenye Serikali.

Magufuli aheshimiwe, Zitto aelewe kwamba suala la kufiwa ni suala kubwa. Haiwezekani kwenye utawala bora tuache suala la Magufuli kuzungumzwa vibaya na mimi sitaacha.

Leo nnapoongea Waislamu mmefunga, dini inawakataza kuwasema vibaya marehemu, Zitto ni muislamu anajua.

Mheshimiwa Zitto anatutaka tunaompenda mheshimiwa Magufuli tukazikwe nae. Zitto amewahi kufiwa na mama yake, mimi sitaki kufika huko, mama wa Zitto ni mama yangu mimi. Mimi nimewahi kufiwa na baba yangu lakini ACT wamewahi kufika na makamu wa kwanza wa Rais, Zitto anatulazimisha sisi tuanze kumsema vibaya Maalim Seif, hatuwezi.

Inakuwaje watu mnakuwa waoga, viongozi wakiwepo hamsemi wakiondoka ndio mnasema, huu ni uoga uliopitiliza. Mtu mmoja tu alisema kwa vitendo kwamba yeye hawezi kufanya kazi na Magufuli, Nyalandu.

Aliachia ubunge akaondoka lakini watu tuliobaki hapa ni watu wa Magufuli na tumefanya nae kazi na tulikuwa tunamsifu.

Hawa watu ambao sasa wanamsema Magufuli na kumsema Samia na wanafiki wakubwa, Samia akiondoka watamsema vibaya hivyohivyo, ni bora mimi Lusinde ambae niko wazi na siwezi kuacha.

Pia, soma=> Zitto: Wanaompenda Magufuli wakazikwe naye Chato, alikuwa Rais fisadi zaidi kuwahi kutokea Tanzania
Zitto ni msanii tu yule dogo.....anacheza na wabongo wasiojitambua akili.
 
Kuna mtu alishawahi kusema bungeni, "Watu kama Zito wanapaswa kuwawa na bunge likapiga makofi meza kushangilia"...

Kuna wakati ujinga tunaulea wenyewe na kuushangilia ila mambo yakigeuka tunaona tunaonewa...
 
"Kibajaji" aka Living stone lusinde hilo jambo alipaswa kulizungumzia kwenye vikao vyao vya chama na sio bungeni labda kama bunge nalo ni kikao cha chama...
 
tusipende sana kulea ujinga hata kama unatufavor maana matokeo yake huwa ni mabaya sana..

Watanzania tuna tabia sana ya kufurahia ujinga wakati ambapo unatufavor na kujiona tuna akili sana na wengine ni wajinga sana...

Tuwe tunapima sana mambo na tuache roho za kishabiki bali tujikite kwenye facts..
 
Watanzania huwa tunasahau haraka sana, au kwa sababu ya upofu unaosababishwa na mapenzi yaliyopitiliza bila kuangalia facts?...

Kuna ujinga mwingi sana ulifanyika mahala fulani na watu tukawa tunashangilia na kupiga makofi sana kwa sababu ule ujinga ulikuwa ukitufavor....leo mambo yamegeuka tunalialia...
 
Nimekuuliza alipoulizwa huyo Samia kuhusu kesi ya Mbowe alijibu nini?

Mtu mwenye asili ya haki hasubiri mashinikizo ili ndio atende haki, angetenda haki kama alivyowatoa wale wazanzibari wenzie bila kushinikizwa.
Siasa mbaya sana yaani zinawatoa akili watu kabisa. Wamesahau interview ya kwanza na BBC Samia alisema na kutoa msimamo wake kwamba Mbowe mashitaka anayotuhumiwa ni ya kweli pamoja na kutolea dalili na kuonesha yuko upande gani wkt kesi iko mahakamani na walianzisha thread pamoja na comments za dhihaka kwa Rais Samia nyimbo ya 'anaupiga mwingi 'ukafa rasmi baada ya hapo leo anakuja upya na kusifu eti Samia mtu wa haki..
 
Ni sawa kuwa muoga kama kunguru Ili uishi..

Nani asiyejua kwamba Mwendazake hakutaka kukosolewa? Na wale waliothubutu waliishia kupotea na wengykupigwa risasi na wengine kuwekwa kwenye vopeto na kutoswa baharini wakaokotwa maiti..

Mwendazake alizuia kukosolewa alkiwa hai kwa hiyo ni sahihi kukosolewa akiwa huko huko kaburini..

Mbona Samia anakosolewa akiwa hai na Wala hahangaiki na mtu unless uvuke mipaka..

JK nae alokosolewa akiwa hai na akiwa Madarakani na hata alipotoka wala hakusakamwa kama Mwendazake..

Kwa hiyo huyo kibajaji kama ana mlenda Mwendazake aende kaburini kwake.
Unaweza lieleza jukwaa moja ya wakosoaji wake ambaye aliokotwa baharini?
 
Lissu alimsema Magufuli akiwa hai akaishia kupigwa risasi, mbona hakujitokeza kukemea Lisu kushambuliwa kwa kumkosoa Magufuli akiwa hai? Kama hutaki kukosolewa ukiwa madarakani tena ukiwa hai, jiandae kupokea ukweli nje ya madaraka au ukiwa kuzimu.
Una uhakika Lisu alipigwa risasi kisa Magufuli?Kama ni ndio,mbona alirudi tena kwenye uchaguzi na huyo Magufuli hakumgusa?
 
Magufuli anasemwa vibaya kwa kuwa alizuia watu kumsema vibaya, Kikwete mbona watu hawamsemi vibaya, Mkapa, Mwinyi na nyerere wao hawakuzuia watu kama alivyozuia Magufuli zile hasira za kuwazuia ndizo zinaonekana sasa hivi.
Unataka kusema enzi za Magufuli watu walikua hawamseni vibaya?Au kumsema vibaya kuna tafsiri nyingine?
 
Leo bungeni mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde amemvaa vikali kiongozi mkuu wa ACT, Zitto Kabwe kwa kumsema Hayati Magufuli. Kibajaji amemuita Zitto muoga kupitiliza kwani wakati Magufuli yupo hai hakusema mpaka ameondoka.

Pia Kibajaji amesema wote wanaomsema Magufuli ni wanafki na hata Samia akiondoka nae watamsema vilvile. Amemsifu Nyalandu kwa kusema kwa vitendo hawezi kufanya kazi na Magufuli wakati yupo hai na kuachia nafasi yake ya ubunge.

========

Kibajaji: Nchi yetu imeweka vizuri sana masuala ya utawala bora kisheria lakini kuna baadhi ya vyama kwa mfano pale Zanzibar, ACT tunashirikiana nacho kwenye utawala bora, sisi tuna Rais, tuna Serikali wao wana makamu wa kwanza wa Rais lakini mmesikia kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo, Zitto anamnanga mheshimiwa Magufuli kana kwamba Zitto hashiriki kwenye Serikali.

Magufuli aheshimiwe, Zitto aelewe kwamba suala la kufiwa ni suala kubwa. Haiwezekani kwenye utawala bora tuache suala la Magufuli kuzungumzwa vibaya na mimi sitaacha.

Leo nnapoongea Waislamu mmefunga, dini inawakataza kuwasema vibaya marehemu, Zitto ni muislamu anajua.

Mheshimiwa Zitto anatutaka tunaompenda mheshimiwa Magufuli tukazikwe nae. Zitto amewahi kufiwa na mama yake, mimi sitaki kufika huko, mama wa Zitto ni mama yangu mimi. Mimi nimewahi kufiwa na baba yangu lakini ACT wamewahi kufika na makamu wa kwanza wa Rais, Zitto anatulazimisha sisi tuanze kumsema vibaya Maalim Seif, hatuwezi.

Inakuwaje watu mnakuwa waoga, viongozi wakiwepo hamsemi wakiondoka ndio mnasema, huu ni uoga uliopitiliza. Mtu mmoja tu alisema kwa vitendo kwamba yeye hawezi kufanya kazi na Magufuli, Nyalandu.

Aliachia ubunge akaondoka lakini watu tuliobaki hapa ni watu wa Magufuli na tumefanya nae kazi na tulikuwa tunamsifu.

Hawa watu ambao sasa wanamsema Magufuli na kumsema Samia na wanafiki wakubwa, Samia akiondoka watamsema vibaya hivyohivyo, ni bora mimi Lusinde ambae niko wazi na siwezi kuacha.

Pia, soma=> Zitto: Wanaompenda Magufuli wakazikwe naye Chato, alikuwa Rais fisadi z
JPM alikuwa rais mkatili sana, unachopanda ndio unavuna. Ila Zitto hakuwa sahihi sana, watanzania tulishajua. Hakuna haja ya kusema
 
Afadhali ya zito Kibajaji anaogopa mpaka marehemu. Nani mwoga zaidi kati ya anayeongopa aliye hai na anayeogopa marehemu
Kuelewa ni kazi sana
Hajasema anamuogopa kasema anamuheshimu marehemu kwa mujibu wa mafundisho ya dini.
Hamsemi Maalim sio kwamba anamuogopa
Hamsemi mama yake Zitto anamuogopa
Acheni huu upumbavu na kujifanya mnasahau.. Zitto huyuhuyu alitoa machozi wakati chadema wanamsema mama yake na akasema jamani mama yangu kafariki naomba mwacheni apumzike.. Huku anafuta machozi
Wakati huo alikuwa amejitapa kwa kusema CHACHA WANGWE died but I WONT... Akimaanisha Wange aliuawa yeye hawatomuweza ndipo yakazuka maneno kwamba mama yake alikuwaga mchawi sana
Sisi tuna fahamu jinsi yule mama alivokuwa kigagula je tuanze kutaja anaotuhumiwa kuwaloga na kuwaweka misukule? Nao akawaombe radhi nani? Zito ataenda kumuombea radhi mama yake?
Mtu akifa kitabu chake kinafungwa anasubiri hesabu kwa Muumba wake.
Tuache marehemu wapumzike jamani..
 
Sio kila mtu ni jasiri kama Lisu, hawa wengine walingoja atoke madarakani wateme nyongo. Kwa bahati mbaya kafia madarakani. Hivyo kwakuwa hakuwa mstaarabu acha ukweli wake apewe akiww huko huko motoni.
Miaka yote wewe ulikua ukimponda Magufuli, Ulitaka uhuru gani zaidi ya ule?Lisu sio mtu wa kwanza kupigwa risasi au kufanywa vibaya. Walikuwepo akina Mwangosi,Ulimboka, kibanda, Kubenea, Mwaikusa nk.Haya matukio kwako ni ya kawaida sana kuliko la Lisu?
 
Magufuli alikuwa na falsafa?
Ya utekaji, ubambikaji kesi, ukwapuaji, roho mbaya,ukabila, ubaguzi, call that falsafa?
And you subscribe to that?
Aliyemweka Mbowe ndani mwaka jana sio mbambikiaji kesi?Anayejaza waislam huko serikalini now sio mbaguzi?Aliyemtoa Ndugai bungeni kisa kampinga sio roho mbaya?Au we matendo mabaya unayatafsiri vipi?
 
Back
Top Bottom