WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Kwa Mungu wa wapi labda Mungu wa Chato na mizimu.Tusifikiri kumsema vibaya Magufuli kutasaidia kitu, hayupo na hawezi kujibu kitu, kama una tatizo naye maliza utakuja kukutana naye kwa Mungu.
Mtu akishatangulia kitabu chake kinafungwa, tunamuachia Mungu kuja kutoa hukumu.
You are very stupid indeed why are you forcing people to believe in evil deeds? Zitto Kabwe is a hero may god bless him.Zitto is a stupid person. Kuendelea kumjadili ni kupoteza muda.
Zitto mama yake alikufa na alikua mjumbe wa bunge la katiba, kwa hiyo kwa kua alikua anaongea uharo bungeni wote wanaompenda walitakiwa wazikwe nae akiwemo zitto.
Zitto mume wake Maalim alifariki, kwa hiyo act wote wanaompenda maalimu akiwemo zitto walipaswa wakazikwe nae huko Zanzibar.
Zitto hana akili.
Fukua kaburi wewe tukusikie, tafadhali usitulishe matango pori Zitto yuko sasa yule mwehu wenu hakupenda kukosolewa akiwa hai acha watu wamjadili kwa namna ile ile aliyowatendea akiwa hai ili shetani aendelee kukoleza moto.Tukiataka kuzungumza ya Maalim Seif hapa tutakimbiana. Zitto asitake tufukue makaburi.
Shoga mwenzio mbona hamkuzikwa wote na Maalim?You are very stupid indeed why are you forcing people to believe in evil deeds?Zitto Kabwe is a hero may god bless him.
Kila nafsi itaonja mauti na Maalim Seif amekufa lakini matendo yake mema yanaishi pamoja na kudhulumiwa sana na chama cha majambazi na Magufuli akiwemo.Shoga mwenzio mbona hamkuzikwa wote na Maalim?
Acha ujinga, maovu ya marehemu lazima yasemwe ili walio hai wajifunze na kujiepusha kufanya maovu yale. Magufuli alikuwa shetani lazima asemwe akiwa marehemu kwa sababu alitumia nguvu za dola kunyamazisha watu wasimame akiwa haiKuelewa ni kazi sana
Hajasema anamuogopa kasema anamuheshimu marehemu kwa mujibu wa mafundisho ya dini.
Hamsemi Maalim sio kwamba anamuogopa
Hamsemi mama yake Zitto anamuogopa
Acheni huu upumbavu na kujifanya mnasahau.. Zitto huyuhuyu alitoa machozi wakati chadema wanamsema mama yake na akasema jamani mama yangu kafariki naomba mwacheni apumzike.. Huku anafuta machozi
Wakati huo alikuwa amejitapa kwa kusema CHACHA WANGWE died but I WONT... Akimaanisha Wange aliuawa yeye hawatomuweza ndipo yakazuka maneno kwamba mama yake alikuwaga mchawi sana
Sisi tuna fahamu jinsi yule mama alivokuwa kigagula je tuanze kutaja anaotuhumiwa kuwaloga na kuwaweka misukule? Nao akawaombe radhi nani? Zito ataenda kumuombea radhi mama yake?
Mtu akifa kitabu chake kinafungwa anasubiri hesabu kwa Muumba wake.
Tuache marehemu wapumzike jamani..
Kila nafsi itaonja mauti na Maalim Seif amekufa lakini matendo yake mema yanaishi pamoja na kudhulumiwa sana na chama cha majambazi na Magufuri akiwemo.Shoga mwenzio mbona hamkuzikwa wote na Maalim?
Akifufuka leo Magufuri atawaambia ubaya wa kutumia madaraka hapo ndiyo mtajua kuua uaji ni mbaya shenzi ninyi eti cheti feki njoo ukague vyeti vyangu uone kama tunalingana pumbavu.Umepaniki vibaya mno cheti feki na mla ngada pumbavu wewe
You are stupid and useless material person, unafikiri wote ni wajinga kama ninyi mbona Nyerere na Mkapa walishakufa na walikuwa marais kwa nyakati tofauti kwa nini wao hawasemwi vibaya kama huyo mwendazake, bullshit wewe.Mshenzi wewe, asokujua Nani wewe kuwa ni muuza ngada?
Huna huruma na vijana wa kitanzania wewe, koma kabisa wewe
Na mtajuta sana mlifikiri bila Magufuli nchi haiwezi kusonga??? Mtadhalilika sana kwa kumtegemea mwanadamu badala ya kumtegemea Mungu mwenye mamlaka na kila uhai wa mwanadamu, tafuta njia nyingine ya kuomboleza kima wewe kama ni kumkosoa tutaendelea kumkosoa tu na akitokea mwingine mwovu kama Magufuli tutamkosoa tu.Mshenzi wewe, asokujua Nani wewe kuwa ni muuza ngada?
Huna huruma na vijana wa kitanzania wewe, koma kabisa wewe
Yote hayo wasema wewe, wewe ni punguani!! Nimekupuuza wewe mbuzi kasoro mkia weweNa mtajuta sana mlifikiri bila Magufuri nchi haiwezi kusonga???Mtadhalilika sana kwa kumtegemea mwanadamu badala ya kumtegemea Mungu mwenye mamlaka na kila uhai wa mwanadamu,tafuta njia nyingine ya kuomboleza kima wewe kama ni kumkosoa tutaendelea kumkosoa tu na akitokea mwingine mwovu kama Magufuri tutamkosoa tu.
Una upeo gani marehemu wewe,elimu ya kukariri ni elimu,jinga sana unafikiri kusemwa vibaya au vizuri kutabadilisha kitu,hamna alishakufa na aliokuwa anawaonea wanatamba mitaani kunguru wewe.Kunywa sumu kabwela Mkubwa wewe,
Unadhani ulivyo wewe unataka na wenye upeo Mkubwa wawe kama wewe zombie.??
Jinga kabisa
Umeshatengeneza vyeti?Una upeo gani marehemu wewe,elimu ya kukariri ni elimu,jinga sana unafikiri kusemwa vibaya au vizuri kutabadilisha kitu,hamna alishakufa na aliokuwa anawaonea wanatamba mitaani kunguru wewe.
Mfuate mwendazake kaburini ili roho yako ifurahi.Yote hayo wasema wewe, wewe ni punguani!! Nimekupuuza wewe mbuzi kasoro mkia wewe
Ndio ni tofauti, utawala wa Jiwe umewanyima wanasiasa kama akina Zitto ulaji na ndio maana kelele nyingi.Unadhani hatujui tofauti ya tawala hizo?
Je ulifanikiwa au umeshindwa??? Na bado Zitto anayo nafasi ya kuja kuwa Rais na ukampigia magoti.Ndio ni tofauti, utawala wa Jiwe umewanyima wanasiasa kama akina Zitto ulaji na ndio maana kelele nyingi.
Ndio ni tofauti, utawala wa Jiwe umewanyima wanasiasa kama akina Zitto ulaji na ndio maana kelele nyingi.
Wewe ndio unaeumia kwa kukumbuka nakuumizwa na maovu yake kwa chuki na upumbavu wako.We jifariji tuu.magufuli hawezi pumzika ata siku Moja.kwani mama ya zito alikua rais?tumseme wa nini sasa??
Shida ni utoto na uelewa.Acha ujinga, maovu ya marehemu lazima yasemwe ili walio hai wajifunze na kujiepusha kufanya maovu yale. Magufuli alikuwa shetani lazima asemwe akiwa marehemu kwa sababu alitumia nguvu za dola kunyamazisha watu wasimame akiwa hai
Mbona povu limekutoka as babako anataka kuolewa!.Huyo shetani wako yupo kuzimu na kamwe hawezi kwenda kwa Mungu!