Mkunde Original
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 807
- 647
Jana natoka zangu ofisini jioni hii niko kwenye foleni, dereva kibajaji kaja na abiria wake 3 wanaume kawapakia kwa nyuma.
Akanipigia honi na kunionyesha ishara ya kuomba aingie kwa mbele kwani alikuwa anachepuka kando ya njia na hapo kamuona trafiki so anataka kurudi nia kuu asikamatwe au asipigwe bao.
Mie bana dereva sina roho mbaya nikaita fair play maana kesho naweza kutanua mie nikamuomba kumchomekea atanipisha, hivyo nikampisha magari yaliposogea akaingia njia kuu. Baada ya bajaji kuingia njia kuu akajipenyeza upande wa kushoto yule kaingia mtaani akasepa.
Mie nikaendelea na foleni langu njia kuu maana husband alishanionya kuchepuka barabarani sio tuu nitasababisha ajali bali pia navunja sheria hivo nilitulia.
Sijakaa sawa nawaona voda fasta hawa hapa wakanigongea kioo wakiashiria nifungue kioo nikafungua wakasema mama ongoza gari kituo cha polisi, nikashangaa nimefanya yepi? wakasema umemsaidia yule dreva wa bajaji kutoroka na sie tumeweka foleni ili kuwablock wameiba hela kwenye bureu de change moja ya mhindi heee mie hata sikuwaelewa vizuri nikabaki nawashangaa mara kikaja king'ora na maaskari mama ongoza njia .
Yalitokea kibao huko kituo cha polisi thank God baba mkwe yuko a bit top huko juu ndo nikatoka baada ya mawasiliano kadhaa kufanyika yaani nilichoka kabisa na tukio lililonikuta khaaaa!
Je ningekuwa sina ninayemjua huko juu si ungekuta niko segerea.... naenda kwenye debe daaaah hadi sasa nawaza sipati jibu.
Hakiamama ukikutana na mimi barabarani usiniombe kunichomekea wala sikupishi aiseee.., be aware mtu usiyemjua anaweza kukuletea matatizo.
Akanipigia honi na kunionyesha ishara ya kuomba aingie kwa mbele kwani alikuwa anachepuka kando ya njia na hapo kamuona trafiki so anataka kurudi nia kuu asikamatwe au asipigwe bao.
Mie bana dereva sina roho mbaya nikaita fair play maana kesho naweza kutanua mie nikamuomba kumchomekea atanipisha, hivyo nikampisha magari yaliposogea akaingia njia kuu. Baada ya bajaji kuingia njia kuu akajipenyeza upande wa kushoto yule kaingia mtaani akasepa.
Mie nikaendelea na foleni langu njia kuu maana husband alishanionya kuchepuka barabarani sio tuu nitasababisha ajali bali pia navunja sheria hivo nilitulia.
Sijakaa sawa nawaona voda fasta hawa hapa wakanigongea kioo wakiashiria nifungue kioo nikafungua wakasema mama ongoza gari kituo cha polisi, nikashangaa nimefanya yepi? wakasema umemsaidia yule dreva wa bajaji kutoroka na sie tumeweka foleni ili kuwablock wameiba hela kwenye bureu de change moja ya mhindi heee mie hata sikuwaelewa vizuri nikabaki nawashangaa mara kikaja king'ora na maaskari mama ongoza njia .
Yalitokea kibao huko kituo cha polisi thank God baba mkwe yuko a bit top huko juu ndo nikatoka baada ya mawasiliano kadhaa kufanyika yaani nilichoka kabisa na tukio lililonikuta khaaaa!
Je ningekuwa sina ninayemjua huko juu si ungekuta niko segerea.... naenda kwenye debe daaaah hadi sasa nawaza sipati jibu.
Hakiamama ukikutana na mimi barabarani usiniombe kunichomekea wala sikupishi aiseee.., be aware mtu usiyemjua anaweza kukuletea matatizo.