Mkunde Original
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 807
- 647
- Thread starter
-
- #21
Nshawah kumgonga mtu makusudi kwa kunichomekea bila ruhusa yangu.
Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
Walikuw na njaa zao hao.nw days wanachukua hadi soda za kopo kama ukiwakazia kuwap hela.
Na mie nahisi hivo.............
Ukiisoma mara mbili utagundua kuna kitu tofauti kaamua kuwasilisha
Hebu saidia kutuelewesha huo upande tusiouona...
nahisi ni lugha ya picha.
mimi hao polisi wasingekuwa na uwezo wa kunifanya chochote, zaidi ya yote hata huko kuongoza gari kwenda kituoni nisingeenda, ningewasha gari hadi home kama wananifuata wangekuja wakinifuata na king'ora chao wanikamatie home halafu waniambie kosa lao ni lipi. chochote ambacho wangenifanya either kunifungulia mashitaka /ambayo hapo naona kama hayapo, ningekuja kuifungulia serikali kesi ya madai hadi ningejenga gorofa. shenzitaipu polisi.
Hata mimi nimeshaa pia! Coz kusaidia kutoroka mhalifu ni Criminal case inayohitaji Actus reus na Mens rea!
Kumruhusu mtu kupita/kukatiza sio Actus reus kwa sababu sheria za barabarani zinaruhusu hilo! Na wala hakuna Mens rea kwasababu hakuwa na nia ya kutorosha mhalifu! Nawala sio negligence kwa sababu Mkunde hakuwa na duty of care hapo!
...
Hapa wangempeleka huko wangempotezea muda tu, but wangemuachia!
Unyee debe kwani kosa lako liko wapi? ulishindwa kuwaambia kwamba wewe umempisha tu hilo la kuwakamata ni jukumu lao
pole sn kwa yalokusibu!
mmhh.. Mkunde Original! mimi Excel napinga kabisa hoja!
hii ni habari picha..
haukuwa barabarani wala nini! umetuletea tu ujumbe kwamba tuache nanii!
ceteris paribus nimekuelewa!
weka picha
na mimi ndo muogaaaaa yaani..... sijui niende jeshi la kujitolea tuu kama wanaloenda waliomaliza form six. Ubishi ndo kabisaaaawatu8 kamaliza hapo juu acha uoga! Mimi nina watu wako juu sana kwenye hilo jeshi lao la polisi lakini ishu zangu huwa nazimaliza kwa kukomaa nao. Ukitaka kuwaweza unatakiwa kuwa mbishi sometimes.
Tujifunze sheria..
mwambie heaven on earth akueleweshe ameuona huo upande wa pili, though I didn't mean it......
mimi hao polisi wasingekuwa na uwezo wa kunifanya chochote, zaidi ya yote hata huko kuongoza gari kwenda kituoni nisingeenda, ningewasha gari hadi home kama wananifuata wangekuja wakinifuata na king'ora chao wanikamatie home halafu waniambie kosa lao ni lipi. chochote ambacho wangenifanya either kunifungulia mashitaka /ambayo hapo naona kama hayapo, ningekuja kuifungulia serikali kesi ya madai hadi ningejenga gorofa. shenzitaipu polisi.
Mmh! Baki njia kuu michepuko sio dili!! Hicho kibajaji mh!!!
Mbona hii kitu nimeelewa zaidi ,nimeona kama lugha ya picha.
Pole kwa yaliyokukuta
Asante, kwa kutusaidia na sisi wengine, tumepata fundisho juu ya tatizo lako