Kibajaji kimeniponza...

Kibajaji kimeniponza...

Nshawah kumgonga mtu makusudi kwa kunichomekea bila ruhusa yangu.

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk

hahahahaaa pole aisee nimejikuta naangalia avatar yako nikapata picha ulivomgonga aliyekuchomekea bila ruhusa yako.
Good day best.
 
Walikuw na njaa zao hao.nw days wanachukua hadi soda za kopo kama ukiwakazia kuwap hela.

hahahaaaaa mie bana ni muoga sana hasa nikisikia polisi waaah!! sasa hilo la kuhongwa soda za kopo heheheeee mie simo, looh!!
 
Na mie nahisi hivo.............

Ukiisoma mara mbili utagundua kuna kitu tofauti kaamua kuwasilisha

Ooooh my Gosh!! huwa nasikiaga tuu kuwa kuna habari ikisomwa na watu wengi basi kila mtu atapata tafsiri yake, it happens here!!. I didn't mean what you think ila umenifanya nifikirie upande huo pia na nimejikuta nacheka heheheeeee
 
mimi hao polisi wasingekuwa na uwezo wa kunifanya chochote, zaidi ya yote hata huko kuongoza gari kwenda kituoni nisingeenda, ningewasha gari hadi home kama wananifuata wangekuja wakinifuata na king'ora chao wanikamatie home halafu waniambie kosa lao ni lipi. chochote ambacho wangenifanya either kunifungulia mashitaka /ambayo hapo naona kama hayapo, ningekuja kuifungulia serikali kesi ya madai hadi ningejenga gorofa. shenzitaipu polisi.

umesahau hiyo wapigwe tu, hiyo unaifanya kama wamekuachia uzima, alifanya vizuri kwenda kituoni na mapungufu yao yameonekana, kama vipi bado anaweza kuwafungulia mashtaka kwa waliyomfanyia hata sasa!
 
Hata mimi nimeshaa pia! Coz kusaidia kutoroka mhalifu ni Criminal case inayohitaji Actus reus na Mens rea!
Kumruhusu mtu kupita/kukatiza sio Actus reus kwa sababu sheria za barabarani zinaruhusu hilo! Na wala hakuna Mens rea kwasababu hakuwa na nia ya kutorosha mhalifu! Nawala sio negligence kwa sababu Mkunde hakuwa na duty of care hapo!
...
Hapa wangempeleka huko wangempotezea muda tu, but wangemuachia!

Tatizo sheria sizijui na hapo ndo huwa naonewa na hawa manjagu, na muda wangu waliupoteza sana tuu
 
Unyee debe kwani kosa lako liko wapi? ulishindwa kuwaambia kwamba wewe umempisha tu hilo la kuwakamata ni jukumu lao

They were so hash and rude sikuweza ongea nao zaidi ya kuwasikiliza maana huwa napandwa na hasira sana pale ninapomueleza kitu halafu mtu hanielewi huwa naogopa sana kumjibu mtu vibaya, hayo yote niliwaeleza ila wlitaka nielekee kituoni kwa maelezo nilipoona wananiletea mizengwe ndo nikafanya mawasiliano walipoona oda inatoka juu ndo wakaanza mama pole, ila sku ingine usiwapishe usiowajua na maneno kibao mie huku nimefyum nikaingia zangu kwenye gari motoo home.
 
mmhh.. Mkunde Original! mimi Excel napinga kabisa hoja!

hii ni habari picha..

haukuwa barabarani wala nini! umetuletea tu ujumbe kwamba tuache nanii!

ceteris paribus nimekuelewa!

heheeee haya ba aukishakuwa na mawazo na maamuzi yako kichwani siwezi kukushawishi uamini au ukubali ninachosema ila ukweli utabaki palepale hilo ni tukio lililonikuta juzi jioni wakati narudi kazini na hiyo lugha ya picha imetokea tuu hahahaa pengine uandishi wangu kwenye kulielezea tukio nimejikuta natoa taarifa mbili kwa wakati mmoja, it can be an art......
other things remains constant!!
 
watu8 kamaliza hapo juu acha uoga! Mimi nina watu wako juu sana kwenye hilo jeshi lao la polisi lakini ishu zangu huwa nazimaliza kwa kukomaa nao. Ukitaka kuwaweza unatakiwa kuwa mbishi sometimes.
na mimi ndo muogaaaaa yaani..... sijui niende jeshi la kujitolea tuu kama wanaloenda waliomaliza form six. Ubishi ndo kabisaaaa
 
mwambie heaven on earth akueleweshe ameuona huo upande wa pili, though I didn't mean it......

Kwa nini usinieleweshe wewe mwandishi kuepuka communication breakdown...??

Kama umeamua kutumia lugha ya picha basi lugha uliyotumia kufikisha ujumbe imetushinda walengwa...
 
mimi hao polisi wasingekuwa na uwezo wa kunifanya chochote, zaidi ya yote hata huko kuongoza gari kwenda kituoni nisingeenda, ningewasha gari hadi home kama wananifuata wangekuja wakinifuata na king'ora chao wanikamatie home halafu waniambie kosa lao ni lipi. chochote ambacho wangenifanya either kunifungulia mashitaka /ambayo hapo naona kama hayapo, ningekuja kuifungulia serikali kesi ya madai hadi ningejenga gorofa. shenzitaipu polisi.

polisi wetu si unawajua ustaarabu ziro, wanaweza hata kukubambikizia kesi aaah mie na polisi akuu, tena hapo kwenye kufungua kesi itabidi nisome sheria nizijue
 
Back
Top Bottom