Kibajaji kimeniponza...


Yaani ilikuwa kama muvi vile ila ndo ivo thanks God nilirudi home salama
 

asante kwa kweli nilipata usumbufu mkubwa mnoo
 
polisi wetu si unawajua ustaarabu ziro, wanaweza hata kukubambikizia kesi aaah mie na polisi akuu, tena hapo kwenye kufungua kesi itabidi nisome sheria nizijue
Niweke interest Mimi sio mwizi/Jambazi. Ila ingetokea ndio nikaweza kuiba Bureau De Change...nikafanikiwa, siwezi tumia usafiri wa Bajaj Never!! Ndio maana nasema sioni uhalisia wa story yako.
 
Mie mwenyewe nimechoka aise, kumbe hizi fair play tunazozitoa barabarani sometimes unaweza kutorosha muhalifu, sikuwa najua hili

Pole Mkunde Original though naona polisi walikuwa na lao jambo


 
Last edited by a moderator:


Mkuu Mashaxizo unasoma LLB nini maana naona mzee actus reus na mens rea zinakushuka tuu
Karibu kwenye fani mkuu
 
Last edited by a moderator:
Sijaelewa mantiki ya wewe kukamatwa eti kwa kosa la kupisha Bajaji kwamba umesaidia wezi kutoroka....

Kwani mlipewa taarifa awali kuwa msipishe watu wapite?
 
Ooooh my Gosh!! huwa nasikiaga tuu kuwa kuna habari ikisomwa na watu wengi basi kila mtu atapata tafsiri yake, it happens here!!. I didn't mean what you think ila umenifanya nifikirie upande huo pia na nimejikuta nacheka heheheeeee

hahaa basi mie nilivosoma nikahisi labda umemaanisha hivo....
 

ya mungu mengi
tenda wema nenda zako
lets assume usingempisha afu hao waporaji wana silaha za moto...unadungunyuliwa la kipanda uso afu still wanapita..:evil:
 
Nshawah kumgonga mtu makusudi kwa kunichomekea bila ruhusa yangu.

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk

yani avata🙂r yako..jina lako...na comment zako....zinafanana kama machungwa..lol
 
Ukweli wa habari nauona na ikizingatia police wetu walivyo wababe na elimu zao za kusindikiza darasani sina budi kukupa pole kwa kadhia iliyokupata. Ila vp uliwauliza kama hiyo bajaji iliandikwa....SISI NI MAJAMBAZI TUNAWAKIMBIA POLICE??????????????? naamini hapo ungekuwa msitu wa pande japo swali linajieleza.
 
Uchunguzi usio rasmi unaonesha zaidi ya asilimia 60 ya askari waishio Dar ni wezi...walikushika wewe ili wezi wenzao (whether raia au askari wenzao) watoroke kiurahisi.. #myTHOUGHT

On the other hand Mkunde Original pamoja na kukana sana..mimi nahisi huu 'mchepuko wa bajaji' ni jambo lingine kabisaaa!!!
 
Last edited by a moderator:
Hivi hao wezi wapo kwenye kibajaji polisi walikosa hata bodaboda ya kuikimbiza au pikipiki yao ya kawaida kuikimbiza hiyo bajaji maana bajaji seed mwisho 80km/h it doesnt make sense hao polisi walikuwa na lao jambo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…