Kibaka huyu ni kutoka mamlaka gani?

Kibaka huyu ni kutoka mamlaka gani?

Huyu hafuzu kuwa mfanyakazi wa umma.

View attachment 2604943

Ana nini huyu kumtofautisha na mhuni mvuta bangi wa mtaani?
Hii clip ya siku nyingi Sana. Ilitokea enzi za utawala wa nduli jiwe. Huyu afisa ni miongoni mwa washirika wake alikuwa akiwatuma kuwapora watanzania.

Ndiyo maana tukisema jiwe alikuwa muuaji, mtekaji na mporaji muwe mnaelewa.
 
Movie ya kitambo sana hii
Sukuma gang anataka kubadili tukio lililofanywa na Mungu wao wa Chato kuwa eti limefanyika enzi hizi za utukufu na amani

Legacy ziiiii!!!
 
Sukuma gang anataka kubadili tukio lililofanywa na Mungu wao wa Chato kuwa eti limefanyika enzi hizi za utukufu na amani

Legacy ziiiii!!!

Kibaka ni kibaka tu, hawezi kubadilika.



Mada haihusu legasi.

Ni Kumhusu kibaka, haijali ni nani wala amekaa upande gani.
 
WANANCHIIIIIIIIIIII
💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛
LEO NI KIVUMBI NA JASHO.
TUNATINGA NUSU FAINALI KIBABE.
MADUNDUKA LEO YATALILIA CHOONI
Unasgilia nusu fainali ya kombe la losers??? Puu! Aibu naona mm.
 
Kibaka ni kibaka tu, hawezi kubadilika.

View attachment 2604987

Mada haihusu legasi.

Ni Kumhusu kibaka, haijali ni nani wala amekaa upande gani.
Hivi Iko wapi ile clip akisema "iwapo Uchaguzi utakuwa huru na wa haki WAHUNI wajiandae kukabidhi Dola"?

Hebu tujikumbushe ndugu Wananchi wa 🇹🇿 👇👇



Maneno mujarabu ya Balozi na Kada maarufu wa Manunuzi ya Binadamu kwenye Soko la Utumwa wa Kisiasa hapo Dodoma.
 
My today prediction as follows,Yanga will be beaten by opponent at least 2 goal nil
 
Hii clip ya siku nyingi Sana. Ilitokea enzi za utawala wa nduli jiwe. Huyu afisa ni miongoni mwa washirika wake alikuwa akiwatuma kuwapora watanzania.

Ndiyo maana tukisema jiwe alikuwa muuaji, mtekaji na mporaji muwe mnaelewa.
Kwa nini unazidi kushusha hadhi yako kwa kuandika mambo ya uongo hivi. Unapata faida gani kwa kumsingizia marehemu ambaye hawezi kuja kujitetea. Jitathmini
 
Kuna askari alikuwa anaongea kwa uchungu kuwa bora mwakani astaafu atubu kabla hajafa. Ila hakusema atubu nini.
 
Hivi Iko wapi ile clip akisema "iwapo Uchaguzi utakuwa huru na wa haki WAHUNI wajiandae kukabidhi Dola"?

Hebu tujikumbushe ndugu Wananchi wa 🇹🇿 👇👇



Maneno mujarabu ya Balozi na Kada maarufu wa Manunuzi ya Binadamu kwenye Soko la Utumwa wa Kisiasa hapo Dodoma.


Tumetoka mbali sana. Joni unayakumbuka mambo yenu haya?
 
Kuna askari alikuwa anaongea kwa uchungu kuwa bora mwakani astaafu atubu kabla hajafa. Ila hakusema atubu nini.
Hii nchi ikikombolewa taasisi hii iwe katika za mwanzo kuvunjwa na kuundwa upya responsibly.
 
Back
Top Bottom