Kibaka huyu ni kutoka mamlaka gani?

Kibaka huyu ni kutoka mamlaka gani?

WANANCHIIIIIIIIIIII
πŸ’šπŸ’›πŸ’šπŸ’›πŸ’šπŸ’›πŸ’šπŸ’›πŸ’šπŸ’›
LEO NI KIVUMBI NA JASHO.
TUNATINGA NUSU FAINALI KIBABE.
MADUNDUKA LEO YATALILIA CHOONI
Ndondo Cup ya Losers.Haina mashiko. Pesa za zawadi ya fainali ndio sawa na robo fainali ya Champions League. Chungu kwenye kifuu kaona ni bahari.
 
Kwa nini unazidi kushusha hadhi yako kwa kuandika mambo ya uongo hivi. Unapata faida gani kwa kumsingizia marehemu ambaye hawezi kuja kujitetea. Jitathmini
Kuna masanduku megi ya hela yalikutwa kwake baada ya kifo chake.

Former CAG prof. Assad alitoa ripoti kuwa trilioni 1.5 imepotelea mikononi mwa jiwe halafu jiwe akafura na kuamua kumfuta kazi prof. Assad.

Biswalo kwa maelekezo ya jiwe alikusanya fedha nyingi Sana kwa kile kilichoitwa plea bargaining . Na fedha hizo kuwekwa kwenye akaunti binafsi (ya jiwe).

Legacy ziiii
 
Kuna masanduku megi ya hela yalikutwa kwake baada ya kifo chake.

Former CAG prof. Assad alitoa ripoti kuwa trilioni 1.5 imepotelea mikononi mwa jiwe halafu jiwe akafura na kuamua kumfuta kazi prof. Assad.

Biswalo kwa maelekezo ya jiwe alikusanya fedha nyingi Sana kwa kile kilichoitwa plea bargaining . Na fedha hizo kuwekwa kwenye akaunti binafsi (ya jiwe).

Legacy ziiii
Kweli wewe una akili za Shemale kama unavyojiita. You are not just a sexless but also a brainless
 
Back
Top Bottom