Kibaka mzoefu anatafutwa na polisi

Kibaka mzoefu anatafutwa na polisi

Siku utapoibiwa kitu kinakuwezesha kuishi mjini ndo utajua panaumaje Mkuu. Tunasaka mwizi, wewe unaleta mambo ya Law School? Picha ya mwizi wetu ndo hiyo hapo. Ukimwona tuoneshe sisi tutajua tunafanyaje naye.... Accademics badaye...

Innocent until proven guilty labda ungesema mtuhumiwa wa wizi.., (unless kama ameshahukumiwa na kukubali kosa)
 
I hope ni kweli,maana mtu anaweza kuweka picha ya mtu yoyote kwa sababu zake maalumu.
 
View attachment 80109

UBK/RB/119/2013: WIZI

Kibaka anayeonekana katika picha hii ni mwizi mzoefu wa maofisini, ambako
hudokoa vitu mezani baada ya kuwapoteza malengo wafanyakazi kutafuta chenji.

Anatafutwa kwa wizi wa kifaa cha thamani ya Tsh. 1.5 million/- maeneo ya Ubungo.

Tafadhali sana Kama unajua anaishi wapi, au nyendo zake, ni PM mimi au waoneshe Polisi wamkamate na kumpeleka Kituo cha Polisi Ubungo Kibangu. Tunatanguliza shukrani kwa ushirikiano tarajiwa.

AK48, Dar es Salaam.

Kuna zawadi yoyote nono iwapo tutafanikisha juhudi za kupatikana kwake?
 
Mkuu AK48

Kuna mtu kama huyo nimekutana nae Sinza anatokea kwenye geti moja hivi (nyumba kama hakuna waakiji vile) niliposimama
kumwangalia vizuri alirudi nyuma na kusita kutoka getin hadi niliposogeza gari ndio akatoka. Nyumba yenyewe ipo karibu na makutano ya barabara ya Kwa Remmy kuelekea Sinza E na barabara inayotokea sinza lion hotel kupitia kanisa katoliki sinza. Hiyo nyumba ipo karibu na kampuni ya uchimbaji wa visima.

Jana niliona hii picha so leo asubuhi nlivyokua napita nakumwona nikakumbuka. Kwa muonekano wa huyo bwana ni kama alivyo kwenye picha ila kavaa kofia but rasta zinaonekana. Unaweza kuwatumia Polisi kufanya inteligency zaidi kubain ni yeye au la.


Asante sana Mkuu Kichakoro kwa ushirikiano huu. Tumepata taarifa ya ziada kuwa kofia anayovaa ni aina ya Soksi.
Ingawa mtu anaeza kuwa na aina nyingi za kofia nyumbani, niombe kujua kama huyu ulomuona Zinza alivaa aina gani ya kofia? Je, ilikuwa aina ya Soksi?

Nirudie kusema Hili: kwamba nakushukuru sana kwa ushirikiano huu. Namba yetu ya ofisini ni hii: 0716224944 ukibip tutakupigia.
 
Siku utapoibiwa kitu kinakuwezesha kuishi mjini ndo utajua panaumaje Mkuu. Tunasaka mwizi, wewe unaleta mambo ya Law School? Picha ya mwizi wetu ndo hiyo hapo. Ukimwona tuoneshe sisi tutajua tunafanyaje naye.... Accademics badaye...

Mkuu sheria ndio inatulinda ama sivyo tutakuwa tunaishi kama wanyama na mwenye nguvu kumuonea asiye na nguvu ndio maana hata wewe kwa ustaarabu umekwenda polisi na kufungua file...,

Pole sana kwa kuibiwa na hakuna mtu anayependa vibaka ila mimi nimekukumbusha tu kutumia lugha ambayo kesho au keshokutwa hauwezi kujikuta utakuwa sued for slander.., sababu hata ungeandika anatafutwa kwa tuhuma za wizi ungepungukiwa nini au watu ndio wangemuona wasingekwambia ? (Mkuu ni katika kutendeana haki mkuu sababu hata wewe kesho mtu akikuhisi akakutundika humu kwamba wewe ni mbakaji utapenda ?, wakati angeweza tu kuandika anatafutwa kwa tuhuma za ubakaji)
 
Inawezekana nimeumizwa kiuchumi... na kinachoongea hapa ni hayo maumivu.
Ngoja kwanza tumkamate huyu kibaka afu ndo tuanze accademics....

Nashukuru kwa angalizo hata hivyo... Ubarikiwe kwa moyo wako mzuri.
Chukulia kuwa mimi kumwita huyu bwana mwizi ni tuhuma tayari, hata kama sijatamka neno tuhuma.
Mahakama itakuwa na uhuru wa kusema tuhuma yangu si ya kweli.

Naomba lione hivi, kwamba maneno niliyosema kama kwamba yameipa mahakama kazi ya kuniprove wrong. Mimi najua niko right! So geuza argument yako iseme hivi: AK48 is right until proven wrong by the court! The thief is going to jail UNLESS he returns the camera; or the court justifies the theft.








Mkuu sheria ndio inatulinda ama sivyo tutakuwa tunaishi kama wanyama na mwenye nguvu kumuonea asiye na nguvu ndio maana hata wewe kwa ustaarabu umekwenda polisi na kufungua file...,

Pole sana kwa kuibiwa na hakuna mtu anayependa vibaka ila mimi nimekukumbusha tu kutumia lugha ambayo kesho au keshokutwa hauwezi kujikuta utakuwa sued for slander.., sababu hata ungeandika anatafutwa kwa tuhuma za wizi ungepungukiwa nini au watu ndio wangemuona wasingekwambia ? (Mkuu ni katika kutendeana haki mkuu sababu hata wewe kesho mtu akikuhisi akakutundika humu kwamba wewe ni mbakaji utapenda ?, wakati angeweza tu kuandika anatafutwa kwa tuhuma za ubakaji)
 
Back
Top Bottom